Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Unajidanganya tuu, makali yake yakata kama upangaHili Bunge halinaga meno yoyote yale,ndio shida yake ilipo hapo.Litapiga kelele weeeeh na keshokutwa utasikia limetoa msaada wa mabilioni ya fedha.Wait&see.