Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe

Wasiofahamu Siasa za kimataifa wanaona jambo kubwa sana na wengine wanahisi Tayari wanachukua Nchi

Magharibi wameishambulia sana Saudia kwny kadhia ya Mwandishi Khashoghi alieuwawa Ubalozi wa Saudia kule Uturuki

Lakin biashara na mambo mengine yanaendelea kama kawaida na hao Wazungu

Wazungu wanakuwa serious na Wewe ukiwakazia kwny mambo yao hizi zingine ni kitchen Talks tu

Sie tunaminya Demokrasia kuliko Rwanda na Uganda?
 
Kuna baadhi ya vigogo wa CCM wanasema Bunge la Ulaya halina makali yoyote yale - ni majadiliano tu ya kawaida, kwa wao CCM wanasema mwendo mdundo -business as usual kwamba wazungu hawawezi kuipangia Tanzania namna ya kujiongoza hili ni taifa huru.
 
Wala kulikua hakuna haja ya kufika kote huku. ukiangalia mwenendo wa kesi utaona fika kuna tatizo sehemu. unless uwe huna uwezo wa kuangalia mambo kwa jicho la tatu
 
Suluisho la matatizo yetu ni sisi wenyewe ,Mzungu ni mtu wa kucheza na nafasi na akili hawez kukusaidia kwa chochote km maslai yake yanalindwa Nchi nying za kiafrika zina mattzo ya kisiasa ila umeona kafanya nn zaid ya kutoa matamko bas
 
Umoja wa Ulaya(EU) wamwambia Rais wa Tanzania mama Samia Suluhu amwachie huru kutoka jela kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA mheshimiwa Freeman Mbowe.

View attachment 2030182

Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho.


Achukue hatua haraka kunusuru Tabaka la wanaolengwa na watawala kila uchao?
 
Back
Top Bottom