Bunge kusitisha kurusha 'LIVE' vikao vyake!

Bunge kusitisha kurusha 'LIVE' vikao vyake!

hatimaye serikali ya chama cha mapinduzi imeamua kusitisha kurusha matangazo ya moja kwa moja kutoka mjengoni dodoma!maana yake nn?ni kuwa wamechoka kuona wanavyodhadhalishwa na wapinzani!kweli ndugu zangu wa ccm wamefirisika kifikra nachoamini mimi apetizer kuwa kulikimbia tatizo sio njia sahihi ya kulisolve bali ni kuliongeza na kulifanya kuwa kubwa!hakika mwisho wa ccm umefika wanachokifanya ni kutapatapa tu!wekeni hoja acheni usanii kama mwenyekiti wenu!
mi nashauri vyama vingi vifutwe ili turudi enzi za ccm kushika utamu kwasababu vinaleta kero kwa mafisadi hawalali wala kula kwa raha
 
Bunge la kifisadi hawataki uovu wao wanaofanya dhidi Watanzania bungeni uanikwe hadharani. Kuna haja ya kuweka kipengele ndani ya katiba mpya kwamba majadiliano ya vikao vyote vya Bunge ni lazima yaonyeshwe live. Hii itasaidia kutuonyesha Watanzania ni akina nani ambao hawastahili kupewa uwakilishi wa Watanzania Bungeni.
 
It's very bad piece of advice from knowhere.

Waelimisheni kwanza wananchi ili waelewe uendeshaji wa bunge na kanuni zake badala ya kuanza kulalamika kwa wananchi kama kanuni zinavunjwa na baadhi ya wabunge wakati hata kanuni zenyewe wananchi hawazifahamu.

You have created a monster na sasa unashindwa kupambana nalo mbele ya watazamaji.

Kufunga mlango hakutasaidia katika pambano bali kutaleta minong'ono ya hali ya juu.

Think again.
 
ndugu wana bodi kwa masikio yangu nilimsikia mheshimiwa spika wakati anaongelea vurugu za bungeni kuwa anaiomba serikali iiongezee fedha TBC1 ili irushe vizuri vituko vya wabunge waonwe na wapigakura wao wanayofanya huko mjengoni mara tena kaibuka katibu wa bunge ndugu T. kashilila huyu anasema vipindi vya bunge havitarushwa live funga kazi kuonesha ushabiki wa siasa hasa kwa CCM akadai wabunge wakapige kelele kama vile mwembeyanga nk. hapa ni dhahiri ujumbe umefika kwa walengwa ukija kwa AG. anakwambia yanayotokea bungeni ndo kawaida ya mfumo wa vyama vingi wananchi wazoee hivi kwa hali hii bunge kuwa kama jamhuri ya kambali madhali kila mtu ana ndevu basi mfalme tutafika????? eee chama changu tukufu CCM tuhurumieni watanzania bunge ni sehemu pekee tunayoamini inatutetea wanyonge.. nawasilisha:A S cry:
 
ndo muche kuchagua wabunge vilaza tuigeni ccm mtu huku hapati ovyo nafasi ya kugombea ubunge sio nyinyi mgombeaànaombwa tena anapatikana masaa mawili kabla ya kurejesha fomuùshabiki utawaponza hamjatumwa kucheza kule
 
Bunge sio Bongo Muvies. Kutueditia matukio hatutaki.
 
mwungwana nilikuwa huko juzi tu nimepishana na shonza sipo huko tena mkuu Ritz kwaheri ya kuonana CDM 4 life
 
Last edited by a moderator:
Bunge limekuwa kama kesi ya zombe ya funika kamera kwa kofia..upuuzi mtupu.CCM IMEJIMALIZA
 
Ujue siku zote chizi akigundua watu wanamuangalia ndio anazidisha vibweka,sasa tuone off camera kama kuna chizi atachafua hali ya hewa ya bunge letu.

Kumbe wewe umejaa hewa tu!
Umetumia nini kuandika hicho!.......
 
ndugu wana bodi kwa masikio yangu nilimsikia mheshimiwa spika wakati anaongelea vurugu za bungeni kuwa anaiomba serikali iiongezee fedha TBC1 ili irushe vizuri vituko vya wabunge waonwe na wapigakura wao wanayofanya huko mjengoni mara tena kaibuka katibu wa bunge ndugu T. kashilila huyu anasema vipindi vya bunge havitarushwa live funga kazi kuonesha ushabiki wa siasa hasa kwa CCM akadai wabunge wakapige kelele kama vile mwembeyanga nk. hapa ni dhahiri ujumbe umefika kwa walengwa ukija kwa AG. anakwambia yanayotokea bungeni ndo kawaida ya mfumo wa vyama vingi wananchi wazoee hivi kwa hali hii bunge kuwa kama jamhuri ya kambali madhali kila mtu ana ndevu basi mfalme tutafika????? eee chama changu tukufu CCM tuhurumieni watanzania bunge ni sehemu pekee tunayoamini inatutetea wanyonge.. nawasilisha:A S cry:
Sasa hivi wengi tunaamini zaidi katika nguvu ya umma kupitia maandamano na si bunge ndo maana hata wabunge badala ya kumuwajibisha spika kwa mujibu wa kanuni kama kuna umuhimu wa kufanya hivyo, wanatoka bungeni wanakuja eti kushitaki/kulalamika kwa wananchi walioko mtaani.
 
katika hilo watanzania tutakosa haki ya kuhabarishwa,kama kuna watu wanavunja kanuni washughulikiwe kulingana na kanuni
 
Back
Top Bottom