Bunduki inafanyaje kazi?

Bunduki inafanyaje kazi?

nunua kwanza alafu nitafute nitakuelekeza kwa vitendo....unasimama mbele alafu mimi nabutua
 
Kuna siraha aina nyingi sana inaanzia gobole, pump action, bastola, shortgun, SAR, SMG,(AK 47 , m4) , G3, LMG, Twelve, heavy machine gun, Fourteen... Ww unataka maelezo au unataka kumiliki siraha gani?
 
wewe, bunduki inahitaji training moja ya maana, ili kuepusha muda na foleni, wee bora umiliki upinde na mshale tu. kwanza hapo ulipo una pressure; maana kama honi ya gari ikipigwa wewe unahisi kuzimia, sasa ukianza kutumia bunduki, mlio wake tu si unakudedisha kabisa.
 
SMG: panga risasi kwenye magazini kisha pachika magazini sehemu yake.
kuna handle fulani ipo ubavuni mwa bunduki unaishusha chini kisha unakoki mashine.
weka kidole kwenye trigger/kifyatulio na ukivute nyuma.

wakati unakoki risasi moja inakaa kwenye bomba la kutokea. ulipofyatua kuna vidude vinalivuta ganda la risasi na kulitoa nje wakati risasi yenyewe inasukumwa nje kwa nguvu ya mlipuko wa baruti baada ya kugongwa kwa na kidude flani kiswahili wanakiita nyundo. hapo risasi itatoka spidi tena ikiwa ya moto sababu ya huo mlipuko..
 
NI HIVI: **** bunduki za aina nyingi, zipo za vitani km SM, AK 47, G3, Light Machine Gun, Heavy Mchine gun etc. Kuna bunduki za kuwindia na kuna bastola.
Bunduki za vitani ni automatic, kwa maana kwamba unapopoga risasi moja, inaruhusu nyingine kuingia chamber. Risasi hukaa kwenye kasha (magazine na nyingine huyumia mkanda). Kimsingi bunduki inafanya kazi kwa msaada wa spring iliyoshikilia cocking handle. Unapovuta cock nyuma na kuiachia, spring huiridisha kwa kasi hivyo kuiwezesha kuchota risasi kwenye kasha na kuiweka chamber tayari kupigwa. Kupoga unabonyeza triger, hapo utatokea mlipuko wa baruri iliyomo kwenye risasi nayo risasi itatoka kwa kasi. Risasi inapotoka, ule mshtuko utaisukuma nyuma cock na kurudi huku ikichota risasi nyingine na kuiweka chamber tena. Vitendo hivyo vyote hufanyika kwa sekunde moja. Hiyo ni automatic.
Bunduki za kuwindia mara nyingi sio automatic, hivyo risasi ikishalipuka, unacock tena ili risasi nyingine iingie chamber.

umesahau huz gun au bunduki kichaa.. hii ni zaidi ya automatic maana hata ukiidondosha bahati mbaya inapiga mpaka risasi zote ziishe... inaweza kukuua hata wewe mbebaji usipokuwa makini. kuna 14, 12 na Semi Automatic Riffle (SAR). Hizi ndizo zinatumika kwenye magwaride. then kuna long range hizi bunduki risasi zake ni mabomu.. nikikumbuka nyingine nitakwambia.
 
Wewe Unataka Kuwa Jambazi Siyo Bure,nahisi Unamiliki Silaha Kinyume Cha Sheria Na Umeificha Sehemu,kama Kweli Unataka Kununua Bunduki Ya Kujilinda Hakukuwa Na Haja Ya Kutaka Maelekezo Kutoka Humu,ukishamaliza Legal Procedures Za Kumiliki Silaha,pale Pale Unaponunulia Silaha Yako Kuna Wataalamu Wanakufundisha Namna Ya Kuitumia Kama Hujui,bunduki Haziuzwi Kama Nguo Tu,unafika Dukani Unanunua Na Kuondoka Nayo.

baada ya kukubaliwa kumiliki bunduki na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa anaoishi ndipo atapewa mafunzo ya namna ya kutumia bunduki na yanatolewa na vyombo ya ulinzi na usalama(hapa nazungumzia majeshi ambayo ni jwtz, tpf, tps). kwenye mahojiano yao ukikiri unajua kutumia bunduki arooo umekwenda na maji.. utaeleza uipojifunzia unless uwe mtumishi wa majeshi au ulipita national service.
 
Kuna siraha aina nyingi sana inaanzia gobole, pump action, bastola, shortgun, SAR, SMG,(AK 47 , m4) , G3, LMG, Twelve, heavy machine gun, Fourteen... Ww unataka maelezo au unataka kumiliki siraha gani?

we utakua mjeda mkuu... ebu tiririka maana unaona hali ya Amboni Tanga si shwari sana
 
Mtoa mada nafikiri anataka kujua Principal nzima ya utaalam wa namna Bunduki ilivyoundwa, sasa ili kumsaidia tungeanza kumwelimisha namna GOBORE (Bunduki ya kienyeji) njinsi ilivyotengenezwa hadi inafikia kuua hadi Tembo.

Tunaamini Sayansi hutumia principal ile ile, kinachofanyika ni uboreshaji tu kutoka Gobore hadi kufikia hatua ya zile AK-47.

Tukimpata mwenye utalaam wa kutengeneza Gobore atatusaidia pa kuanzia.
 
Wewe tegesha Korodani zako halafu nizipige na risasi utajua jinsi gani inafanya kazi.
 
Wewe Unataka Kuwa Jambazi Siyo Bure,nahisi Unamiliki Silaha Kinyume Cha Sheria Na Umeificha Sehemu,kama Kweli Unataka Kununua Bunduki Ya Kujilinda Hakukuwa Na Haja Ya Kutaka Maelekezo Kutoka Humu,ukishamaliza Legal Procedures Za Kumiliki Silaha,pale Pale Unaponunulia Silaha Yako Kuna Wataalamu Wanakufundisha Namna Ya Kuitumia Kama Hujui,bunduki Haziuzwi Kama Nguo Tu,unafika Dukani Unanunua Na Kuondoka Nayo.

👏 👏 👏 hoja nzuriii mkuu na mimi na mshakaa na huyuu muungwanaa. wanausalama mumsogelee huyu kumbeee..
😯😈😈😬😬
 
SMG: panga risasi kwenye magazini kisha pachika magazini sehemu yake.
kuna handle fulani ipo ubavuni mwa bunduki unaishusha chini kisha unakoki mashine.
weka kidole kwenye trigger/kifyatulio na ukivute nyuma.

wakati unakoki risasi moja inakaa kwenye bomba la kutokea. ulipofyatua kuna vidude vinalivuta ganda la risasi na kulitoa nje wakati risasi yenyewe inasukumwa nje kwa nguvu ya mlipuko wa baruti baada ya kugongwa kwa na kidude flani kiswahili wanakiita nyundo. hapo risasi itatoka spidi tena ikiwa ya moto sababu ya huo mlipuko..

,we Bado haujaivaa kama unamfundisha jambazi jeee
 
Back
Top Bottom