Bunduki inafanyaje kazi?

Bunduki inafanyaje kazi?

Matege inaonesha ww sio mtu mzuri,,, kwann unawachukia askari?
Kama hali yako ndio hyo ni bora usimiliki kabisa kwasababu utajiharibia futur yako bure. Ww miliki sime na manati tu kaka
 
Last edited by a moderator:
ila kuna pistol moja inaitwa
Norinkho imetengenezwa china
inabeba risas 11 ndani ya
magazine.....
Kwa wajuzi wa vyombo hivi
ukishapachika magazine unakoki
unaipeleka chemba risas moja
kwahyo ndan ya magazine znabaki
risas 10 halafu unaongeza nyingne
znakuwa 11 ndan ya magazine na
ile iliyokuwa chemba inakuwa ya
12. Labda jamaa alikuwa
anamaanisha hvyo

Zipo jamani 15rds na ukifanya hivyo unakuwa na 16. . . . .na kwa nini uhangaike wakati you can have an extra mag with same amount of pelets by your waist???!!!!
 
Nimetosheka na maelezo ,siku njema .I just need to get Info not to waste my time joking,,,,Thanks

hahaaaaaaaa.. na daught kuhusu age yako. if really uko 40's alafu unaandika hivi.. we utakua jamii ya le mutuz. good day
 
Matege inaonesha ww sio mtu mzuri,,, kwann unawachukia askari?
Kama hali yako ndio hyo ni bora usimiliki kabisa kwasababu utajiharibia futur yako bure. Ww miliki sime na manati tu kaka

kiruuuuuu.. jamani mi ni ke mkuu. manati ninayo mkuu
 
Last edited by a moderator:
Zipo jamani 15rds na ukifanya hivyo unakuwa na 16. . . . .na kwa nini uhangaike wakati you can have an extra mag with same amount of pelets by your waist???!!!!

ndo nazisikia kwenu... itabidi ni google mkuu
 
Nimetosheka na maelezo ,siku njema .I just need to get Info not to waste my time joking,,,,Thanks

Sawa mkuu samehe kwa yote ila nakushauri tena na tena tafuta sana taarifa za silaha kabla hujaamua aina uitakayo. . . . .nakutakia siku njema ila kuwa na.silaha ni kitu kimoja na kujihakikishia usalama wake na wako ni kitu kingine!!!!

Be blessed
 
Matege hapa naunganisha dots halafu nachanganya na zangu tangu kule tulipoanzia
 
Last edited by a moderator:
ndo nazisikia kwenu... itabidi ni google mkuu

Yeah do that, and keep doing it maana knowledge on guns is soo vital if one intends to posses or already possessing one. . . . . .Having it without proper info is even lethal. . . . Its better to have none than having one with little proper info. . . . . . . .
 
Matege hapa naunganisha dots halafu nachanganya na zangu tangu kule tulipoanzia

usiunge dots mkuu.. piga mstari na rula ikibidi kabisaaaa.. ila umeingia chaka
 
Last edited by a moderator:
ila kuna pistol moja inaitwa
Norinkho imetengenezwa china
inabeba risas 11 ndani ya
magazine.....
Kwa wajuzi wa vyombo hivi
ukishapachika magazine unakoki
unaipeleka chemba risas moja
kwahyo ndan ya magazine znabaki
risas 10 halafu unaongeza nyingne
znakuwa 11 ndan ya magazine na
ile iliyokuwa chemba inakuwa ya
12. Labda jamaa alikuwa
anamaanisha hvyo
ikiwa cocked na risasi ikiwa chemba si inakuwa siyo salama? i mean inabaki ku pull trigger tu. ni salama kuihifadhi hivyo ?
 
ikiwa cocked na risasi ikiwa chemba si inakuwa siyo salama? i mean inabaki ku pull trigger tu. ni salama kuihifadhi hivyo ?
ndio maana nikasema kwa wazoefu. risas ikiwa chemba hapo ni kuwa makin na usalama. ukifunga usalama inakuwa self
 
umesahau huz gun au bunduki kichaa.. hii ni zaidi ya automatic maana hata ukiidondosha bahati mbaya inapiga mpaka risasi zote ziishe... inaweza kukuua hata wewe mbebaji usipokuwa makini. kuna 14, 12 na Semi Automatic Riffle (SAR). Hizi ndizo zinatumika kwenye magwaride. then kuna long range hizi bunduki risasi zake ni mabomu.. nikikumbuka nyingine nitakwambia.

hizo wanauza pia kwa watu binafsi ktk maduka ya silaha?
 
Back
Top Bottom