Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,323
- 24,192
Naleta bundi wangu!
Huyu ukimwona huponi!!!!
Ameingilia wapi jamani wakati eneo la binge ndani na nje ni full security.
Hapo ni zile samaki za kupima kwa rula na kusababisha Panya wajae hapo.
Ni majanga mkuuInawezekana kuna Panya au Popo amefia kwenye dari humo Bungeni. Lakini Spika wetu kwa kutindikiwa ufahamu Wa mambo nje ya Kanuni za Bunge,yeye kakimbilia kwenye imani za "Vibuyu".
Swali la msingi kujiuliza ameingiaje? Bundi ni ndege kama ndege wengine tu lakini kwasababu wabunge wengi wamezoea tunguli na pengine hata humo kwenye viti vyao kuna tunguli ndiyo maana hofu imeingia hata kuleta uzi kama huu hapa!
Tuambie kimya nini au huyo bundi alikuwa anaimba/lia kiasi cha wabunge kushindwa kusikilizana?
Ameingilia wapi jamani wakati eneo la binge ndani na nje ni full security.
Mmmh! Tuwaachie wajuzi wa Hays makitu.
Ni majanga mkuu
Yaani kiumbe anaetafuta riziki yake wanahusisha ushirikina moja kwa moja
Sent from my SM using Tapatalk
Kama ni mambo ya kishirikina CCTV camera hazisense kabisa pamoja na kusetiwe iwe sensitive to motion.CCTV camera hazikumwona huyo Bundi au zimesha ng'olewa na wazee wa CCM?
Hilo halina ubishi na hajikuni mtu hapaMore than 90% ya Wabunge wameiingia Bungeni kwa IMANI ZA KISHIRIKINA including the presida JIWE...!!
Kama kuna mtu anabisha ajifanye kama anajikuna....!!!