field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,730
BUNDI NI NDEGE KAMA NDEGE YEYOTE WA KAWAIDA..WALA HANA MADHARA YOYOTE KWA MAISHA YA BINADAMU....NCHI YETU WANAOAMINI UCHAWI NA USHIRIKINA NI ASILIMIA 93. PAMOJA NA USOMI WOTE WA KUTENGENGEZA VIBIRITI NA VYUMA WATANZANIA BADO WAOGA WA NDEGE ASIYEONGEA AU ASIYE NA MIKONO??? USOMI WA WATANZANIA UPO WAPI? SPEAKER UNALIABISHA BUNGE NA NCHI YETU.Nilichanganya kidogo mambo, unajua leo asubuhi palikuwa na bundi, bundi ‘original’ hapo juu hapo, lakini sisi Dodoma bundi wa mchana hana tatizo ila wahusiku ndo shida".Job Ndugai JAN 29,2019-Dodoma
View attachment 1007609
======
BUNGE: Ndege aina ya Bundi ameingia ndani ya ukumbi wa Bunge Dodoma asubuhi ya leo wakati Mkutano wa 14 wa Bunge la 11 ukianza kikao chake cha kwanza lakini Spika wa Bunge Job Ndugai aliwatoa hofu wa Bunge kuwa Bundi wa mchana hana madhara kama wa usiku.