Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,590
- 25,706
Wasomi watakwambia watu wanakufa kwa sababu ya ndege ( bundi)...
Kama unaamini mungu yupo basi pia shetani na rafiki zake pia wapo
Amepita pitaje?? Kwenye nyufa au kwenye kuta??..
Ila kama mdau hapo alivyoelezea, bundi kisayansi wako very sensitive to the smell of dead cells..
Wanasayansi wa wanyama na ndege kupitia vipindi kama Nat Geo Wild wanafanya tafiti deep sana za hawa viumbe wanaotuzunguka na kwa kweli kuna vitu vingi sana muhimu vya kujifunza kupitia wanyama, ndege na hata wadudu.. Natamani tungeweza kuipata hiyo sayansi na vifaa kupata maarifa yaliyo wazi lakini yote kheri..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kwa kushirikiana na baadhi ya viumbe tunaweza kutatua matatizo mengi sana kwenye jamii. Mnyama pekee anaye tumiwa vilivyo zaidi ya mashine ni mbwa, anaye weza kunusa dawa za kulevya kwa ufasaha lakini wapo weingine chungu mzima wanaoweza hata kugundua chanzo cha kansa.Yeah ndio ilivyo ...wataalamu wanasema kwamba anauwezo mkubwa " wakugundua wakunusa kiasi kwamba never zake huwa zinampatia taarifa Kwamba kiumbe fulani kimepunguza chembe chembe hai mwilini na Muda sio mrefu kitakufa ...so bundi huwa anaenda mpaka karibu na makazi ya hicho kiumbe akitumaini kwamba kikifa anaweza kujipatia mzoga .... kuna thread ambayo imewahi kueleza kwakina kuhusu hilo humu .....
Ila sio kweli kwamba kila wakati ambao bundi huwa anaonekana basi patakuwepo na kiumbe ambacho kitafikwa na umauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha dead cells ni ujinga mtupu na aliyewafundisha wanajf huu ujinga kawaokota kindezi mnoWe ndio sasa unataka kuwatisha watu zaidi ya kuwafariji. Unataka kumaanisha kuwa tayari ameletwa hapo mjengoni na harufu ya kifo? Ni nani humo bungeni aliyekwisha kuwa na dead cells? Ili ikiwezekana awahishwe India??!!
Naam nikweli " Hiyo Ya sua kutumia panya hawakuanza leo mkuu ..mimi nimeishi karibu na kile chuo mnamo miaka ya 95s. ..hizo project walizianza kitambo kidogo.... wanyama .wadudu., huwa wana jua vitu vingi sana ambavyo kama wasomi wetu wa africa wangejikita zaidi katika tafiti kuhusu wao basi nasisi tubgekuwa miongoni mwa watu wenye technology kubwa sana ", tungeiuza na sisi kunufaika na hilo "... Imagine pasingelikuwa na uwepo wa treni bila wazungu kuiga umbo LA mdudu tandu".Unajua kwa kushirikiana na baadhi ya viumbe tunaweza kutatua matatizo mengi sana kwenye jamii. Mnyama pekee anaye tumiwa vilivyo zaidi ya mashine ni mbwa anaye weza kunusa dawa za kulevya kwa ufasaha lakini wapo chungu mzima wanaoweza hata kugundua chanzo cha kansa. Nafahamu Sua wametumia panya kunusa mabomu na chembe chembe za kifua kikuu.
Tulimuona mchana ila sikumbuki kama alikuwepo usiku pia ni miaka mingi sana imepita.
Kwa hiyo,Bundi ni Mnyama Wa Shetani? Na kama ndivyo,huyo shetani amejichagulia tu Bundi Wa Afrika na wa sehemu zingine Duniani anawaogopa?
Tueleze wewe unachokijua tutoke kwenye huo ujinga " ehh !! Au ndio nawewe unaamini katika hizo imani za kishirikina ... kuishia kusema tu kwamba ni elimu ya kijinga pasipo kutoa tafiti zako .... ni zaidi ya ujinga kama sio upumbavuElimu ya kijinga
Acha undezi kwanini mnakimbilia kigoma mshasikia kuna mtu kachunwa ngozi huko,kuuawa katika mazingira tatanishi au albino kuuawa?
Kwani alifika Kitandani kwa Mgonjwa au? Kwa sababu kama Bundi ana uwezo Wa kumnyofoa mgonjwa Roho yake ni kwa nini ahiyari kutoka huko mbali aje karibu na nyumbani halafu aogope kutua kwenye kitanda cha mgonjwa?
Kama Bundi anaogopa kuuawa basi hana uwezo anaodaiwa kuwa nao. Bundi, angalikuwa na uwezo wowote Wa kipekee,Wa kutoa Roho ya mtu angalijiamini kwa kuja moja kwa moja na kutua hata kwenye Tumbo la mgonjwa na yeyote ambaye angejaribu kumdhuru naye angenyofolewa Roho yake vile vile au huyo Bundi angetoweka tu ghafla na asionekane amepitia wapi kama ambavyo anadaiwa kunyofoa au kumchukua mgonjwa bila watu kumuona mgonjwa amechukuliwaje.
Kwani alifika Kitandani kwa Mgonjwa au? Kwa sababu kama Bundi ana uwezo Wa kumnyofoa mgonjwa Roho yake ni kwa nini ahiyari kutoka huko mbali aje karibu na nyumbani halafu aogope kutua kwenye kitanda cha mgonjwa?
Kama Bundi anaogopa kuuawa basi hana uwezo anaodaiwa kuwa nao. Bundi, angalikuwa na uwezo wowote Wa kipekee,Wa kutoa Roho ya mtu angalijiamini kwa kuja moja kwa moja na kutua hata kwenye Tumbo la mgonjwa na yeyote ambaye angejaribu kumdhuru naye angenyofolewa Roho yake vile vile au huyo Bundi angetoweka tu ghafla na asionekane amepitia wapi kama ambavyo anadaiwa kunyofoa au kumchukua mgonjwa bila watu kumuona mgonjwa amechukuliwaje.
Hakuna mwanasiasa ambaye c mshirikina ,wanasiasa wa bongo wote ni washirkinaAmeanza kuamini ushirikina? Ndugai siyo mzima akamalizie dozi zale kule Apollo