NABEEL SADIO
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 352
- 580
Kwahiyo unataka kusema alikutafuna hadi weee?Na ndivyo ilivyo bwashee!
Zitto akilewa penzi anakuwa bwege kabisa.
Kwahiyo unataka kusema alikutafuna hadi weee?Na ndivyo ilivyo bwashee!
Zitto akilewa penzi anakuwa bwege kabisa.
Yule alikula makombo ya Alikiba n mond?Ila Bulembo ana mtoto mzuri. Zito angechelewa kidogo yule jamaa aliyechukua form ya peke yake angelala nae mbele huyo mrembo
Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Hii mijitu ya Ukawa ina tamaa sana. Zito si ana mke?mbowe si an mke??chek walivyoZito kashatafna mtoto wa mzee Bulembo.Chezea mijitu ya ukawa w w!!
Bado sijaelewa hizi comment,Kwan kuna nini
Hii mijitu ya Ukawa ina tamaa sana. Zito si ana mke?mbowe si an mke??chek walivyo
Hahaaa noma,nimeelewa mkuuKuna mzee mmoja hivi na mwanaye kutoka chama kimoja hivi tawala cha kisiasa nchini Puerto Rico 'wameteuliwa' kuwa Wabunge wa 'Viti Maalum'
Sasa kuna kijamaa kimoja na ambacho ni 'Kibunge' cha upinzani na kinaonekana kama 'ki snitch' fulani hivi na Viongozi wa kile chama cha yule 'Mzee na Mwanaye', si kikatumia madawa ya mitishamba ya kwao na kumlevya yule binti na hivyo kujimilikisha!
Baada ya kujimikilisha, kile kibinti hakisikii na wala hakiambiliki kiasi cha kuhatarisha ugali wa mzee wake. Kibinti kimeshutumiwa wazi wazi na Mwenyekiti kwa kutoa siri za kambi kwa hicho kijamaa chake, lakini kibinti hakisikii na wala hakiambiliki! Hivyo 'mzee' wa hicho kibinti, kimekosa namna nyingine, isipokua kumkana hadharani huyo mkwe wake!
Umeelewa sasa? Kama hujaelewa tena, basi muulize huyu member Zitto, yupo humu jukwaani.
Kati ya Mnyika, mondi na AK nani aliaanza kusuuza rungu ?Yule alikula makombo ya Alikiba n mond?
Na wewe ukikaa vibaya unatembezewa runguHii mijitu ya Ukawa ina tamaa sana. Zito si ana mke?mbowe si an mke??chek walivyo
Tafuta moja ya vitu hivi au vyote kwa pamoja (hela au madaraka) ili na wewe uweze kufaidi maua mazuri ya dunia hii. Kulialia hakutabadili chochote.
Kaka mbona unaandika kwa hisia za wivu, hawa bila hela, werevu, smartness, maneno matamu utaishia kuwaangalia tu!! lah kupata wapika chapati maana Mungu kaumba levels. !!Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Maisha ya kimapemzi kwa mwanadamu ni private issue, ukiona mwanaume anakaa kumwongelea wanaume mwenzake kuhusu mahusiano aliyonayo basi ni udhaifu mkubwa!!Masokwe na Nyani ndio wako hivyo, binadamu ameumbwa na consciousness, Mnyama hana na hiyo ndiyo tofauti kubwa kati ya Binadamu na Mnyama, kulingana na maelezo yako unaweza hata kulala na mama yako au mtoto wako maadamu na unaweza kumhonga hela na yeye ana matatizo anahitaj hela itabidi akubali, ...
Masokwe na Nyani ndio wako hivyo, binadamu ameumbwa na consciousness, Mnyama hana na hiyo ndiyo tofauti kubwa kati ya Binadamu na Mnyama, kulingana na maelezo yako unaweza hata kulala na mama yako au mtoto wako maadamu na unaweza kumhonga hela na yeye ana matatizo anahitaj hela itabidi akubali, ...