Bhanunu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 798
- 243
Hahahaaaa........ Zitto kamuweza sana Bulembo imebidi astaafu siasa!
Siasa za Tanzania niujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa........ Zitto kamuweza sana Bulembo imebidi astaafu siasa!
Maisha ya kichawi yanaendaga kichawiAnayeaibishwa sana si Zitto ni huyo dada Bulembo, tatizo la kuchanganya siasa na familia. Nawe Dada Bulembo unamsikia dingi kuwa wewe mambo yako unayafanyia vichakani umri huo!
Unafiki unampofusha huyu mzeeMzee kuna maisha baada ya siasa
Kiufupi mzee ana muonea wivu Mwami luyaga. Teheteheee tehetehee.Kwa hio amekubali kwamba mwanae alichapwa na zitto
Zitto nae amezidi kuoa oa! Mpaka mke wa rafiki yake! Ndio maana sura inachubuka kila siku nakuota mapere kila leo! Yatakuwa ni ma UTI ya wanawake,
Anafakamia mno! Ndo maana mzee bulembo katoa povu.
Ni kweli sio dhambi mkuu..ila kwa muislamu yakini haoi mkristo..atamsilimisha kwanza..ndoa za serikali hazitambulikani kanisani wala msikitini hata kwa baniani!Kwani kuoa mkristo ni dhambi bwashee?
Mzee Makamba alikuwa anaingia hadi Kanisani na maisha yaliendelea katika uislamu wake!
Mkiumwa na nyoka huko mtamlilia nani? Bulembo au!Kutia ni kutia tu hata iwe kisimani
Tutamlilia babu yetu job ndugaiMkiumwa na nyoka huko mtamlilia nani? Bulembo au!
Unataka ugali wake utiwe mchanga?Huyo Halima Bulembo zitto kafunga nae ndoa muda mrefu Sana, sema hatupendi show off.. najua utaduwaa ila habari ndio hiyo mzee anajibaraguza tu labda mwanae kapewa nafasi ya kuwa mke mdogo.
Cheki View attachment 1482583
Kakikosa ubunge ndiyo katajifunza nini maana ya maishaMdada kufanya mapenzi hovyo hovyo wewe ndiye unayedhalilisha familia yako. Mimba za hovyo hovyo wazazi hawazithamini hata kidogo. Wazazi wengi hufukuzia mbali wadada kwenye tabia kama hizo.
Bulembo cant breeth
Mambo mswanooNi kweli sio dhambi mkuu..ila kwa muislamu yakini haoi mkristo..atamsilimisha kwanza..ndoa za serikali hazitambulikani kanisani wala msikitini hata kwa baniani!
Zile ni mbadala.. ..
Lakini kubwa ni maamuzi na mapenzi... ...
Wengi..hata..Lipumba..Majaliwa nk..ni vile vile..