Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Nimecheka kwenye escrow!!!!!!
 
Dogo ana bahati this time of the year hatuna muda wa mabishano tunakula mbege tu..

Ila tumempa homework ndogo tu ya TRA amebaki kuhahahaha na vipicha uchwara
Hiv thread inasemaje
 


Jango la NSSF KILIMANJARO

KILIMANJARO MOUNTAIN



Round about ya KCMC, KILIMANJARO N/PARK NA ARUSHA



Katikati ya manispaa

Jango la stend kuu ya mikoani,
Bado sehem kibao sijaziweka hapa.
Mjomba, acha utapeli hapo umeweka picha za miji mingine unadai ni Moshi, acha hizo, hakuna malipo hapa.

Picha unayoita katikati ya Manispaa ni picha ya Mwanza mjini, kwenye sanamu ya Nyerere, katikati ya mkutano ya barabara ya Nyerere na Kenyatta kwenye mzunguko jirani na Tunakopesha Limited na njia panda ya kuelekea Police Central na bandarini. Kwa mbali hospitali ya Bugando inaonekana.

Picha nyingine mbili za juu, mojawapo ipo chini ya ile unayoita ni round about ya KCMC, pia siyo ya Moshi. Hiyo na ya chini yake ni picha za Iringa, zilizopigwa Juu ya usawa wa MR Hotel, zinazoionyesha Dodoma Road, kwa mbele inaonekana Kalenga Hotel na ghorofa la Asas kama unapandisha kutokea Manispaa kuelekea Mlandege kupitia uwanja wa Samora.

Mjomba nasikia nyie mnapenda sana magumashi, nilidhani ni kwenye mtonyo tu, kumbe hata picha mko radhi kuduplicate ili kuwin argument!

Mimi sina upande ila uongo ndo uache maana humu siyo wote hatujaitembea vizuri nchi yetu. Ukipenda ongeza na za Mbeya ili ushinde zaidi. Maana Nahisi pia umepost nyingine za Tanga na Arusha

Nampongeza wa za Bukoba kwani yule yeye hajaongeza za miji mingine.
 
Nakubaliana na wewe, ila Dar kwa ukweli hakuna ya kufanana nayo. Labda manispaa zake ndo ufananishe na majiji yetu mengine hasa kwa idadi ya watu na ukubwa wa eneo la mji proper.
 


Tatizo la kina Nshomile ni kujisifu bwanaa...

Angalia tuu hata usafiri wa kwenda kwao wameshindwa kununua mabasi mazuri japo sasa njia ipo nzuri MH. Magufuli kawajengea barabara kupitia chato nzuriii......ILA angalia mabasi ya KILIMANJARO NA ARUSHA halafu chunguza mabasi yanamilikiwa na kina nani....kama hukukuta mabasi mengi ni majina yale yalee ya wenyewe...

Wahaya kwa kujisufu...hata kama hana gari atakuambia amepaki benz mlangoni...sijui kwanini...

Sisi tunaamini hata usipopiga kelele kuhusu mafanikio yako yatajionesha yenyewe...acha mafanikio yapige kelele sio wewe upige kelele....

Biashara nyingi angalia waliozishikilia ni kina nani....

Celebrities wa kihaya ni kina nani...?

Ila bila kutafuta sana....kuna kina
1. Nancy Sumari - Arusha
2. Saida Kessy
3. Hoyce Temu
4. Theresa Shayo

Hiv thread inasemaje


@ instanbul polee
 
Weka picha, acha maelezo mengi. Bukoba imewekwa na pako vizuri.
 
Shida wanaishia one way tu na uswaxi ni sawa na kufika mwanza na kuishia mabatini kwenye lodge umefika kashura, ukaona kibeta jee,nkindo,nyamukazi, bandarini custom nk,hotel kama coffee,bugabo,ruhunga,prince motel,sky,victorious,upendo,kolping ,walkguard,kiroyera,stalla,elct,lake view nk
 
Kimsingi Moshi imegalagazwa na Bukoba, hilo liko wazi. Moshi ni ndefu imefuata barabara tu kiurefu haiko kimpangilio kama huo wa Bukoba, uzuri nimefika Moshi ila sijafika Bukoba, ila kwa picha hizo alizoweka mdau, bukoba pako vizuri,na sababu iko wazi, wachaga wengi waliofanikiwa kimaisha wamejenga wilayani na vijijini kwao, hivyo kwa hali ya wilaya au vijiji vya Moshi ni vizuri kuliko vijiji vingi vya Tanzania. Wangejenga sana mjini Moshi basi hata Arusha ingezidiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…