Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Niliwai kufika bukoba pia moshi nisawa na kulinganisha manzese na posta moshi pazuri licha ya Uzuri wake pia ni moja mji msafi sana bukoba pachafu baathi ya sehemu lami hamna kiukweli bado sana izo picha zimepigwa kwajuu tu ila chini hatari
Hata Dar pachafu kuliko moshi
 
Miji yote hapo ni ovyo ukilinganisha na resouces zilizopo.Moshi kitovu cha utalii,ardhi yenye rutuba lakini haijaendelea.Bk mipaka minne,ziwa,mvua za kutosha,wasomi kibao lakini ni mkoa maskini.Acheni ligi uchwara.Tulitegemea hiyo miji kuwa sawa na mombasa ama kigali lakini porojo tu.
 
Bukoba ni sawa tu na Kigoma au Sumbawanga, yaani hakuna mpango. Mji huko hovyo na hauna mpangilio hata kidogo.
 
Moshi na Bukoba zinafanana sana kitabia ata na tabia za watu wao.....Moshi imejengeka vizuri kulingana na utambalale wake hivyo kuna majengo mengi na Barbara double road, Bukoba haijapangika vizuri kulingana na kua sehemu ambayo nk tambalale na ambayo ni center ni padogo mno hivyo kua imebana sana Bukoba imezungukwa kwa pande tatu ni milima tupu pande moja ni Ziwa hivyo kua ni ndogo mno.....Lakini Bukoba imeanza Ku take off kwa kua wameanza kujenga mahote makubwa pembezoni mwa Ziwa na inaeneo kubwa mno kulinganisha na Moshi....Kwa upande wa vijijini Moshi vijiji vyao vimepangwa kwa kua na Barbara za lami tofauti Ila Bukoba/Kagera kwa ujumla ni kubwa hadi imebidi serikali ivunje baadhi ya maeneo km Misenyi na Kyelwa....But all in all Bukoba na Moshi hakuna tofauti kuubwa zaidi ni jiografia ndo tofauti....Nimeishi Bukoba Na Nimeishi Moshi
 
Bukoba the worst place I've ever seen,sehemu ya kula Hamna ,mjini katikati majengo yote au by 90 percent Ni ya serikali.
Majengo ya serikali ni ya wale wahindi waliopo migeyo umefika miembeni wewe,kashura kibeta,rwamishenye,jamhuri road,kashozi road, hamugembe je nshambya mafumbo, kahororo,ihungo jee bk haufahamu kumbe kufika stend ya bukoba ni kama nyegezi na mwanza bk hauifahamu hizi hotel za serikali?
tembea uone bkb kwanza majengo hayo mengi ya zamani yalitetemeshwa sasa hivi yanajengwq mapya so ya serikali-gallery/0a6e11f12dc249274197e0cfd4f92762.jpg[/IMG]
 
inabidi pia uangalie na utamaduni wa eneo husika. kule hawana utamadunu wa kula kwenye mabarabara. watu wanapenda zaidi kula chakula kilichoandaliwa nyumbani. ni aibu mtu kula kwa hotel. kwa hiyo biashara ya hotel kwa ujumla kule si nzuri
Tumeweka hotel nyingi tumia facts kwenyr kutoa hoja.majengo ya serikali mji umekuwa capital city lin
 
Jamani ebu msikinganishe moshi na bukoba ata kidogo.Moshi ni level nyingine papo juu sana.Kabla ujajilinganisha na moshi ebu angalia kama umeweza kuifikia morogoro,Dodoma,iringa,kahama etc kwanza.
Moshi Pa Kawaida Sana.. Msivimbe vichwa.. Hamna Cha ajabu.. Ni kama maeneo mengine tu ya bongo...
Hata mzunguko wa fedha ni wa Kawaida Sana tu.. Hata Kahama tu hamnusi kwa mzunguko wa pesa..
Na after seven years hata kahama itakuwa ipo juu kimuonekano wa kimji na majengo..
 
Nikiwa nipo bukoba napendaga hapa millennium bar maeneo ya migera watu ni wabunifu kweli
 
Hamna kitu brother nimefika huko Na nimekaa week lodge zenyewe zinanuka uvundo.paka camp ,buyekera miembeni,government,uswahilini kote nimefika Hamna kitu!town ndo q bar Na ndo Malaya wanajiona wame fika yan utatuma Picha lakini kwa Mtu aliefika ataona Hamna kitu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…