Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Nawaona wachaga wanapinga kwa maneno tu bila kuweka hata kapicha kusapoti porojo zao.
Sijawahi fika Bukoba lakini kwa muonekano wa picha hizo Moshi haitii maguu hapo.
 
Nawaona wachaga wanapinga kwa maneno tu bila kuweka hata kapicha kusapoti porojo zao.
Sijawahi fika Bukoba lakini kwa muonekano wa picha hizo Moshi haitii maguu hapo.
Mkuu hata uwachinje hawana baada ya kuwakataza wasilete lile la nssf tumelichoka wamebaki kupiga porojo tu.
Eti hawana muda wa kupiga picha
!!
 
Na BCD Stella hotel kashura bukoba hii ndo bukoba halisi.najua wengi muliidharau kwa kuleta hoja ya stendi lakini bukoba ni moja ya manispaa chache zinazozidi hata baadhi ya majiji kwa hotel zenye nyota 3,4,5 hii ni BCD Stella hotel km 3 kutoka mjini kashura
 
Bukoba the worst place I've ever seen,sehemu ya kula Hamna ,mjini katikati majengo yote au by 90 percent Ni ya serikali.
Daah hapa kwenye chakula au sehemu ya kula Bk a.k.a Burkina Faso nilichoka aiseee unadhurura mji mzima hupati sehem ya chakula
 
Daah hapa kwenye chakula au sehemu ya kula Bk a.k.a Burkina Faso nilichoka aiseee unadhurura mji mzima hupati sehem ya chakula
Hizo hotel umeziona shida ulikuwa mshamba sana na ulianza kushangaa shangaa tu na kucheki milima ilivyo na majumba au unawaogopa kuwaproach wahaya.bukoba ni moja ya miji michache nchini yenye hotel nyingi,cafe,resorts, na pub nyingi kama picha zinavyojieleZa sio porojo zako
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…