we uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana wenzio wanajadili maendeleo ya miji na miundombinu wewe unatuletea hali ya joto,kwani joto ndo linazuia vipi kujengeka kwa mji?? chukulia mfano hali ya joto ya pwani n.kYaani moshi hamna kitu zaidi ya jengo moja tu hilo la blue, alafu kusema vijijini moshi pako vizuri mbona bk safi tu. Anyway wachagga acheni sifa za kijinga mdogo wangu yuko moshi analia na joto kali huko
huyo hapajui moshi akili yake inamtuma ni iringa kwakuwa alisoma pale chuo cha kata ila hapafahamu moshi.ila mimi nawashangaa sana watu wanafananisha miji hii miwili ni aibu na fedheha kuifabanisha moshi na bukoba wanaojenga nyumba zinazobomoka kwa mvua tuu ya upepo au katetemeko kale ka juzi hoi hawajiwezi aibu sana,hivi matetemeko yanayotokeaga moshi yangetokea bukoba si kilio miaka yote??miundo mbinu wanayijisifu nayo siyo ya kiwango na ndiyo maana wako ivo kujisifia tuu kila kona aibu sana.Moshi kama moshi itabaki kuwa mishi ukubali au ukatae wewe wa bukoba jipe moyo au jifariji kwa kujidanganya kuwa bukoba mpo juu ya moshi aibu sana,pigeni kazi acheni sifa za kipuuzi.Hiyo ni moshi mkuu, inaonekana huijui vizuri moshi.
Unacheza na tetemeko et ehhh halijakupata ndo maana ushamba tetemeko unalisikia kwenye TV tu waulize mwenye experience like si kitu cha mchezohuyo hapajui moshi akili yake inamtuma ni iringa kwakuwa alisoma pale chuo cha kata ila hapafahamu moshi.ila mimi nawashangaa sana watu wanafananisha miji hii miwili ni aibu na fedheha kuifabanisha moshi na bukoba wanaojenga nyumba zinazobomoka kwa mvua tuu ya upepo au katetemeko kale ka juzi hoi hawajiwezi aibu sana,hivi matetemeko yanayotokeaga moshi yangetokea bukoba si kilio miaka yote??miundo mbinu wanayijisifu nayo siyo ya kiwango na ndiyo maana wako ivo kujisifia tuu kila kona aibu sana.Moshi kama moshi itabaki kuwa mishi ukubali au ukatae wewe wa bukoba jipe moyo au jifariji kwa kujidanganya kuwa bukoba mpo juu ya moshi aibu sana,pigeni kazi acheni sifa za kipuuzi.
Cheki bukoba vijijini
Tafuta hata miwani ya mbao basi ili uone. Kiukweli nimeipitisha rasmi Moshi ni balaa aisee wachaga hongereni sana nimependa bure.
Bukoba utadhani Burundi bana teh teh teh wahaya msinipige mawe.
Vitu vingi ni vya uongo picha za kilimanjaro ni za uongo. Anachanganya na picha arusha na Nairobi. Moshi pa kawaida sana tofauti na wanavyojisifiabasi umenifunza leo ...ila kitabu nilichosoma kilisema hotel ya kwanza ya lift afrika mashariki na mfumo wa maji moto ni Coffee Tree hotel ,iliyojengwa na Native Gorvernment ya Kilimanjaro ....ila kwa hili la zanzibar nakubaliana nawewe kwakuwa najua sio Tanzania tu bali Afrika ,Zanzibar inazo record nyingi ie street lights ziliwekwa zanzibar hata kabla ya London , TRENI YA KWENDA BUBUBU,televisheni ya rangi ya kwanza afrika , etc etc
Bukoba vijijini kwa Moshi itasubiri sana mdau amini hivyo jamaa wapo mbali na ukifika huko kuna.mitaa ipo kijiji lakini hizo nyumba na migarden zake hata pale masaki peshakuwa uswazi wanasubiri unapata chakula ya akiliCheki bukoba vijijini
Machame hospitalHospital za Wachagga vijijini
Aisee Mchome Junior huyu jamaa anazani bukoba ni bab kubwa sababu ya lack of exposure hajawahi kwenda popote nje ya kagera uzuri amekiri mwenyewe Moshi ameijulia star TV ndio maana naenda nae taratibu ni ushamba tu unamsumbua.Mkuu huyo jamaa nna wasiwasi ametoroka mirembe....!maana ni mbishi sijapata kuona..!anafikiri hiyo bukoba anaifahamu mwenyewe tu kumbe watu wanaifahamu vizuri tu ni choka mbaya.
Machame hospital
Kaka picha ya mwisho hiyo ni Hot spring chemka sio...
Vitu vingi ni vya uongo picha za kilimanjaro ni za uongo. Anachanganya na picha arusha na Nairobi. Moshi pa kawaida sana tofauti na wanavyojisifia
Kaka picha ya mwisho hiyo ni Hot spring chemka sio...
Asanta sana, huyu jamaa anayefananisha Moshi na Bukoba ni kichaa...Yeah hapo ni hot spring chemka maji moto hahaha natural jacuzzi watalii wanapakubali sana hapo ni mara 100000 ya Lake Victoria kabisa
Sasa unatuletea picha za misitu na vichaka tuoneshe moshi halisi tutaaminije ni moshiWewe instanbul na wenzio mliotaka pictures za Moshi zimetosha mniambie sababu mlitaka wenyewe
Machame Route to the Mountain Kilimanjaro Huku ukifika ukiwa umefungwa macho badly enough uwe unatokea huko kanda ya ziwa utakana kabisa kama upo Tanzania
Tunapokea maelfu ya watalii daily wanaacha dollars paun euro na cash za kutosha wengine wamezamia huku tunaishi nao sasa huko bukoba hivi hata mnajua dollars nini au mnajua dollars ni vyombo vya usalama????
Dormant kweli ndo maana mlima umeibwa siku hizi ni wa Kenya.moshi mnatuaibisha mno hamuutangazi vizr mlima huo.mnazidiwa na wanabukoba wanausifia mji wao na kuutangaza vyema mji hata kama wanapenda sifa mno.Kama Moshi ni dormant basi hata sector ya utalii nchini ni dormant sababu Kilimanjaro inachangia zaidi ya 87% in tourism cash na sector ya utalii ndio ya pili kwenye kuchangia pato la taifa ikitoka kilimo
Unaota wewe acha chuki kwa wahaya acha uchabikiTafuta hata miwani ya mbao basi ili uone. Kiukweli nimeipitisha rasmi Moshi ni balaa aisee wachaga hongereni sana nimependa bure.
Bukoba utadhani Burundi bana teh teh teh wahaya msinipige mawe.
Unaota badoYaani nimekuchapa bakora za vijijini mpaka umepabadili bukoba mjini saivi unapaita vijijini.???
Moshi ni jiji la kitalii unalinganisha na mji Wa kilimo na ufugaji Kwanza bukoba inachangia kipi kikuu katika pato la taifa? Bukoba ni ya ngapi kwa ukusanyaji wa mapato? Development index ya bukoba ipo vipi ukilinganisha na Moshi? Sababu sio tunabishana tu kizumbukuku wakati ukweli wote upo plain na nikikuletea hapa utaaibika na ngoja nzileta statistics zote