Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hawa wakishuka stendi wakaenda amugembe kwenda Muleba na Kyaka wanadhani kagera iko ivyo. waambie wakae waone kagera kulivyo.
 
Usijaribu kufananisha moshi na vitu vya kijinga kabisa...karibu moshi...
 
Kutangulia sio kufika bukoba ilikuwa inaizidi mwanza miaka ya hamsini,sitini,na sabini lakidi ilikuja kuzidiwa na mwanza,sababu ya majanga yaliyoikuta bk.halafu bk ilitangazwa miaka ya tisini sio elfu mbili.sasa hivi bk inakuwa kwa kasi mzee ukiangalia watu wanavyojenga uwezi amini.mpaka milimani yote inayozunguka bk ilishaparamiwa na majumba kama huu Wa kilimahewa na kashura.huu mlima ilikuwa unaogopwa kujengwa mwaka 2013 lakini ona ulivyoparamiwa mwaka 2015 na 16
 
Wazungu wanapenda kuja Kilimanjaro/ moshi kwa sababu ni mji safi wa kitalii na wenye mandhari za kupendeza.
Hata bk wapo cheki wakitazama utamaduni na nyumba za kale za wahaya nyaruju
 
Yani moshi mji Wa kitalii lakini kwa hotel mko hoi mnazidiwa na bk mji unaokua kwa kasi kibiashara
 
Hata Zanzibar ilikuwa inaizidi Dubai miaka ya sabini mkuu. Majanga yapi yaliifanya bk ikazidiwa na mwanza? HIV au tetemeko? Nieleweshe
 
Hii ndo moshi eeh aisee bukoba inawagalagaza na sifa zote mnazozipa moshi kama wazungu tunao wengi tuu na utalii ni mwingi cheki
Hawa wazungu watakuwa wananatokea Romania hawa. Mtalii aende bukoba kutafuta nini?
 
Hata Zanzibar ilikuwa inaizidi Dubai miaka ya sabini mkuu. Majanga yapi yaliifanya bk ikazidiwa na mwanza? HIV au tetemeko? Nieleweshe
Tetemeko, vita vya kagera,milipuko ya mabomu mwaka 94,utelekazaji Wa mkoa huu miaka ya 80, na 90 wakati bk ilijengwa kibepari lakini socialism ilikuja ikaaribu muundo na ukuaji Wa bk kwa kiasi kikubwa shule,viwanda,mashirika,majengo na vingine vilikufa,bk ilikuja kuamuka tena miaka ya 2000 tu ambayo imekuwa kwa kasi sana.na kumbuka katika majanga hayo hakuna fidia inayolipwa mfano vita vya kagera mji uliharibiwa sana ndo maana ukaangamia kama ilivyo sasa tetemeko.lakini watu walishutka mapema kwamba hakuna fidia ndo maana ukuaji haujaathirika sana.wengi usema bk IPO mbali na tz.
 
Hawa wazungu watakuwa wananatokea Romania hawa. Mtalii aende bukoba kutafuta nini?
Acha dharau za lining a njoo ujione vitu kama hivi ziwa la pili duniani kwa ukubwa na la kwanza Africa nzima utalii si mlima na mbuga tu ndo maana wanafika mpaka bk
 
Ha ha wanautangaza umasikini walio nao.
Endeleeni na ushamba hiyo ni haya museum.ukumbisho Wa maisha ya wahaya zamani acheni kusahau utamaduni wenu.ndo maana kihaya hakichuji
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…