Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.

NAKUOMBA USIFANANISHE SHINYANGA NA VITU VYA KIJINGA
 
acha kupoteza muda kubishana na mhaya kaka. utakesha.
 
Nyie jamaa bana.... Sifa nyingi zimewajaaa... Halafu mbaya zaidi ziko damuni... Hata mkipewa dawa hamponi...
 
Hebu jiulizen swami moja tangia lini umeshawah kusikia mtu katoka mkoani kwenda kutafuta maisha bukoba tatizo IPO pembezoni mno na nchi
Hacha kutania kama unajifungia kwenye AC niwewe watu wanatafuta fursa...hata kama ni mbali....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…