MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,849
- 2,288
Taja na hotel za moshi mkuu
Bukoba badoooo snaaaa
Jango la NSSF KILIMANJARO
KILIMANJARO MOUNTAIN
Round about ya KCMC, KILIMANJARO N/PARK NA ARUSHA
Katikati ya manispaa
Jango la stend kuu ya mikoani,
Bado sehem kibao sijaziweka hapa.
Hahaha mhaya kubali kushindwa bhana, Arusha Hotel unasema KolpingMm kwani arusha hotel inamilikiwa na wakina nani labda zinafanana maana kolping ni shirika kubwa lenye hotel nyingi bongo ni shirika la Rc.
Hapana mkuu hiyo ni moshi maeneo hayo yote hata mimi si mkazi wa moshi lakini nimeyaonaMbona unaweka na picha za Iringa na Mwanza?
Bukoba ndio nini??kwa mosh bk ni kataHIZI NI TASWIRA CHACHE ZA MOSHI
View attachment 451219 View attachment 451220 View attachment 451221 View attachment 451222 View attachment 451223 View attachment 451224 View attachment 451225 View attachment 451226 View attachment 451227 View attachment 451228 View attachment 451229 View attachment 451230
Hahaa aisee umemuumbua vibayaArusha hotel inamilikiwa na Shafii, by the way, kukujulisha tu zaidi mimi mwenyeji wa arusha nimezaliwa nimekulia na kila kitu changu ni Arusha, nina hakika na hiyo hotel umedanganya. Naomba uweke picha halisi ya kolping hotel kama niliyokuwekea hapa chini, acha ku brag na hotels za miji ya watu,
Now thislooks exactly kibukoba
Stendi tu iifanye BK kuwa jiji? Idadi ya watu je? Au hujui vigezo vya sehemu kuwa jiji?Kwa sababu tu ya miondombinu tu kama stendi soko na barabara, bukoba ambayo haijafanikiwa sana ndo wameanza kujenga stendi ya mabasi nyanga ila kama si hivyo bk ingeshakuwa jiji zamani
Nyamukazi ni mwaloni sehemu wanapouzia samaki fukwe kuna kiroyera beach,bunena beach, bukoba coop beach,yassira beach,na kabuwara beach chekiunafanya promo kwa bidii zote ila naishia kuona tu coffee,nyamkazi kwa wanywa gongo Na fukwe chafu sijawahi shuhudia!
Ni bora fukwe ya bahari Kua chafu ila Sio ziwa,Na ukitaka jua fukwe chafu nenda nyamkazi.
Zitaje hizo bank za BKHivi moshi kuna benki ngapi bk INA nyingi kuliko moshi mjini bukoba kuna benki zaidi ya kumi. Tetemeko liachie mungu maana huamukia popote kizuri IPO hai unaweza ukashangaa hapo ulipokaa unarukaruka yaache hayo laana zitawatafuna watakaokula misaada
Kyaka ni Bukoba?Viwanda bk ni vingi kuliko moshi asilia water,kagera sugar,yetu chair,Mali juice,tanica,bunena water,tanica water, kyaka milk,diva mafuta nk
Hapo majengo ya nini hayo hayana kazi hizo ni hotel tumia facts na picha sio poroja tu kiswahiliMoshi iko juu mkuu lakini sijaona haja ya kutaja vilivyopo kwakua sidhani Kama moshi inaweza shindanishwa Na bukoba,bukoba iko chini Sana kwa Moshi .
Stand kuu bk Ni vumbi
Club tu za starehe Hamna
Bar nzuri Hamna
Hotel nzuri Hamna
Bureau change sijawahi Ona
Lodge nzuri Hamna ,Ni guest to Na hazizidi 15.
Nyumba nyingi mjini Ni za serikali (NHC)
Kamji Ni kadogo Sana .
Ukweli mchungu Ni bk inaizidi moshi kwa Kua Na kiwanja kizuri cha mpira.baasi.
Huyu jamaa ulimwelimisha vizuri sana, kama hana nauli ya kufika Moshi aseme tumpatie aende .Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Nyamukazi ni mwaloni sehemu wanapouzia samaki fukwe kuna kiroyera beach,bunena beach, bukoba coop beach,yassira beach,na kabuwara beach cheki