Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Fatilia hotuba ya Waziri tamisemi mwez9 bungeni ndio utapata jibu. Moshi na Dodoma zitapewa hadhi ya jiji soon
 
Mji wa bukoba uliharibiwa na IDD Amin na nyerere
Nyerere na chuk zake hakutaka kuupa kipaumbele mj wa bukoba!
Kimadhali bukoba ni mtamu kuliko mosh
Bukoba compare na dar sio mosh
 
Kweli wewe Mhaya eti inapakana na Kenya na Burundi...Viwanda kama Balimi etc aaah Bukoba bado saana kwanza watu wa huko bado wanasumbuliwa na funza aka jiggers
Hahahaa mkuu,
 
Bukoba tena mw estella hotelnzangu bado bukoba kolping hotel

Acha uongo wewe kaka hii picha ya mwisho unayoita kolping hotel ni THE ARUSHA HOTEL, eish!

Unadanganya picha iweje kwa mfano? Hamuezi kuwa na hotel kama hiyo huko migombani eka picha za ukweliza bukoba
 
Acha uongo wewe kaka hii picha ya mwisho unayoita kolping hotel ni THE ARUSHA HOTEL, eish!
Una uhakika na usemalo hotel hii IPO barabara ya kwenda maruku km 5 kutoka katikati ya mji we wap labda kama za fanana
 
Una uhakika na usemalo hotel hii IPO barabara ya kwenda maruku km 5 kutoka katikati ya mji we wap labda kama za fanana

Picha ya mwisho ni THE ARUSHA HOTEL Stop lying sir! Najua nachokiongea
Nna hakika asilimia 500
 
Acha uongo wewe kaka hii picha ya mwisho unayoita kolping hotel ni THE ARUSHA HOTEL, eish!

Unadanganya picha iweje kwa mfano? Hamuezi kuwa na hotel kama hiyo huko migombani eka picha za ukweliza bukoba
Arusha hotel hii hapa kabla ya kubishi Fanya utafiti labda zinafana
 
Una uhakika na usemalo hotel hii IPO barabara ya kwenda maruku km 5 kutoka katikati ya mji we wap labda kama za fanana



Hakuja kufanana wala nini, hiyo ni ThE ARUSHA HOTEL ipo arusha
Evidence hii hapa,



Siku nyingine usifanye watu wajinga sawa?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…