Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
moshi ipo juu asilimia 100 piga ua garagaza kuikuta moshi kwa maendeleo ni ndoto
endeleeni kujifariji Kwanz chefuu mkoa wa kwanza wenye watumiaji wengi wa huduma za kibenki ni kilimanjaro
sasa ww mshomile tetemeko tu mmeshindwa kuchangishana seuze moshi?
viva moshi viva wachaga
MULAIRANNYE KINDO CHA UTONDO FO MANGI
 
Thread ni ya bk vs moshi ukiangalia mkoa kagera ni Mara mbili ya Kilimanjaro.na watu ni wengi.una biharamulo,ngara,karagwe.kyelwa misenyi muleba na sehemu izo si bk na wahaya sio Wa huko
kageravn mkoa wa 3 kwa umaskini sasa mnajifananisha na KLM?
 


Jango la NSSF KILIMANJARO

KILIMANJARO MOUNTAIN



Round about ya KCMC, KILIMANJARO N/PARK NA ARUSHA



Katikati ya manispaa

Jango la stend kuu ya mikoani,
Bado sehem kibao sijaziweka hapa.
Hiyo picha baada ya round about ya KCMC siyo Moshi ni Iringa.
 
Nkindo kuna sauti,kashura kuna kolping,walkguarg,stalla,perfect nk
Acha uongo, Kolping haipo Nkindo. Zaidi ya ile "SAUT" Ambayo haina tofauti na sekondari ya kata hakuna kitu kingine. Kolping ipo karibia na ziwani mjini
 
Acha uongo, Kolping haipo Nkindo. Zaidi ya ile "SAUT" Ambayo haina tofauti na sekondari ya kata hakuna kitu kingine. Kolping ipo karibia na ziwani mjini
Kumbe hauifahamu bk sijasema IPO nkindo Bali kashura barabara ya maruku mkabala na walkguard zote zipo milimani km kama NNE kutoka mjini
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…