moshi ipo juu asilimia 100 piga ua garagaza kuikuta moshi kwa maendeleo ni ndoto
endeleeni kujifariji Kwanz chefuu mkoa wa kwanza wenye watumiaji wengi wa huduma za kibenki ni kilimanjaro
sasa ww mshomile tetemeko tu mmeshindwa kuchangishana seuze moshi?
viva moshi viva wachaga
MULAIRANNYE KINDO CHA UTONDO FO MANGI
Thread ni ya bk vs moshi ukiangalia mkoa kagera ni Mara mbili ya Kilimanjaro.na watu ni wengi.una biharamulo,ngara,karagwe.kyelwa misenyi muleba na sehemu izo si bk na wahaya sio Wa huko
KILIMANJARO MOUNTAIN
Round about ya KCMC, KILIMANJARO N/PARK NA ARUSHA
Katikati ya manispaa
Jango la stend kuu ya mikoani,
Bado sehem kibao sijaziweka hapa.
Acha uongo, Kolping haipo Nkindo. Zaidi ya ile "SAUT" Ambayo haina tofauti na sekondari ya kata hakuna kitu kingine. Kolping ipo karibia na ziwani mjini
Acha uongo, Kolping haipo Nkindo. Zaidi ya ile "SAUT" Ambayo haina tofauti na sekondari ya kata hakuna kitu kingine. Kolping ipo karibia na ziwani mjini