Mkoa wa Kagera umejaa wapumbavu waliosoma. Kwa mfano wabunge wake wote ni kenge hawawezi hata kutetea maslahi ya wananchi. Vilaza kama Diodorus Kamala wanafanya nini, mbunge wa Bkb Vijijini anafanya nini, yule Mwijage wa Muleba former waziri wa cherehani nne ni kiwanda anafanya nini. Wengine sijui Kiswahili ni shida wanaogopa kuchangia bungeni.
Tukija kwa raia, ni watu wagumu na watata kuishi nao. Ila hawawezi kutumia huo utata kuwa chachu ya maendeleo, wanautumia kwenye migongo na ubishi. Kujenga soko jipya au kurekebisha lililopo unakuwa mjadala wa zaidi ya miaka mitano, kujenga stendi mpya ni mjadala wa miaka zaidi ya saba. Hawawezi elewana ni ubishi na ujuaji.
Kwa kutengwa huo mkoa umetengwa kama Mbeya. Ila kuna miji mingine duniani ilikuwa hivi, kuna muda wa kupandishwa juu kwa mji fulani. Texas au California zilikuwa sehemu za ovyo sana kabla hazijajengwa kimkakati. Hapa nchini kuna maeneo yanakuzwa na kubebwa ila uzalishaji mdogo, kuna mengine yanatekelezwa. Sera zikibadilika fursa zikaonekana mzunguko wa kukua kwa haraka unahamia uko. At least kwa nchi maskini ingetambua fursa za haraka na gharama nafuu ikawezesha.
Moshi nayo haikui kabisa ila hawana upuuzi na hawavumilii kiongozi kilaza. Wako saturated maendeleo yao hayatarajiwi kuongezeka kwa kasi tena. Kwa sasa ni zamu ya kina Njombe na Kahama.
Kagera inategemea ndizi, kwa soko lipi? Kahawa ndio hivyo wabunge hawawezi itetea mwishoni unabaki na mkoa ambao sio productive. Wageni hamna, mji umejazana wenyeji wengi wao umwinyi na ushamba mwingi, mzunguko wa hela mdogo, ushindani mdogo, mbinu mpya kidogo. Na sio asili yetu kuwa wachapakazi, kazi za nguvu hatupendi kivile ndio maana ilikuwa rahisi tukasoma kwa wakoloni wakati wengine wanagoma wanachunga ng'ombe na kuwinda.
Mabadiliko serious yatayoanzishwa na serikali yanatakiwa, hasa social reforms. Na maeneo mengi ya nchi yana shida za hivi mfano mikoa ya Lindi