Bukoba tumebaki analogi

Bukoba tumebaki analogi

Wahaya watu poa sana lakini Bukoba Kama wameisusa vile. Ukiwa mgeni kuuziwa kiwanja na mwenyeji Bukoba shughuli kweli, mji umepoza sana , mzunguko wa pesa ni mdogo, ushamba mwingi, uchawi wakijinga na ukabila yaani nimeishi Arusha, Mwanza, Kagera(Bukoba), Mbeya, Rukwa, Songwe, Iringa , Morogoro, Dar es Salaam .Bukoba peke yake ndio nimekutana na ukabila
 
Bukoba kama Newala tuu, Newala pia hakuna stand tupo tupo tuu, viongozi hawajali,
Juzi kati nilikua Nyamongo njiani pale Mwanza nimeona stand nzuri nje ya Kisesa, pia na ile ya Nyegezi sijui Buzuruga,
Viongozi gaweni hizo Keki kwa watu wote msitubague na wengine
Mbona hata Mwanga ipo Kilimanjaro lakini haina stand kabisa, ina parking tu wilaya nzima.
 
Ukiangalia hali ya mikoa na wilaya vinavyobadilika unaona kabisa Bukoba tuliachwa analog kila kitu Bukoba tuko nyuma sio stendi kuu sio soko kuu sio hospital sio vyuo vikuu yaani hatuna chuo kikuu ata kimoja mkoa mzima lakini ni mkoa umaoongoza kwa kuzalisha wasomi walioolowea ughaibuni.
Wasomi wasio na faida kazi ni kutujazia makaburi. Naandika kwa hasira ivi WAHAYA nani aliyewaloga? Yaani Mbunge anakarabati soko zee kwa kuezeka na bati za SENENE? Tumezidiwa na mshenga wa Yesu Mzee wa Kaprnaum?
Sijui CCM mtajibu nini kwa Muumba, kodi mnachukua hospital hakuna madawa shule hizo usiseme barabara mitaani hoi sijui narudia sijui.
Namaliza kwa kusema ABAHAYA inywena mweshubeho Kagera yagera.View attachment 2250488View attachment 2250490View attachment 2250489View attachment 2250491View attachment 2250492
Ulichokisema ni zaidi ya Ukweli. Bahati nzuri tuna muda wa kujiandaa kumchagua wabunge 2025. Ikiwezekana hata huyu naibu waziri Byabato tumpige chini. Anaushawishi wa kuongea na ma waziri wenzake na wakamsaidia shida zake. Lakini kakaa tu na Makamba wanaiitana mjomba, mjomba. Umesema Kagera yagera.. Lakini mimi nasema 'Kagera yatoka'.
 
Ulichokisema ni zaidi ya Ukweli. Bahati nzuri tuna muda wa kujiandaa kumchagua wabunge 2025. Ikiwezekana hata huyu naibu waziri Byabato tumpige chini. Anaushawishi wa kuongea na ma waziri wenzake na wakamsaidia shida zake. Lakini kakaa tu na Makamba wanaiita a mjomba, mjomba.
Tatizo ni Ccm kuanzia Taifa wana agenda ya siri juu ya Bukoba na Kagera kwa ujumla.
 
Wahaya watu poa sana lakini Bukoba Kama wameisusa vile. Ukiwa mgeni kuuziwa kiwanja na mwenyeji Bukoba shughuli kweli, mji umepoza sana , mzunguko wa pesa ni mdogo, ushamba mwingi, uchawi wakijinga na ukabila yaani nimeishi Arusha, Mwanza, Kagera(Bukoba), Mbeya, Rukwa, Songwe, Iringa , Morogoro, Dar es Salaam .Bukoba peke yake ndio nimekutana na ukabila
Unazungumzia Bukoba ya mwaka gani? Mbona waliojenga na wafanya biashara ni kutoka mikoa mingine? Viwanja vimepimwa na unanunua kwa Mkurugenzi je na mkurugenzi ni muhaya? Acheni storry za vijiweni njoo ununue ujenge. Ukipata usumbufu nitafute nitalitatua kwa muda mfupi mkuu.
 
Mimi nilishaacha kuipambania bukoba....nimewaachia bukoba yao nitakuja kuzikwa tu..


Mji una miundombinu mibovu kuanzia stendi hadi barabara zake...

Serikali yenyew haiteng bajeti na kuipeleka huko..manispaa imejaa wezi tu na wala hawatumbuliwi.



Tungeiacha kagera tu ikachukuliwa uganda na idd amin at least bukoba ingekuwa imepiga hatua
Naona umesarrenda
Umenyoosha mikono juu
Zile ligi zenu hatutarajii kuziona tena
Wewe na@luambano makiadi
Huo mkoa bado sanaaaa
Kwanza upo kushoto mwa nchi nan akawekeze huko??
Nenden Uganda tuu
 
Mimi nilishaacha kuipambania bukoba....nimewaachia bukoba yao nitakuja kuzikwa tu..


Mji una miundombinu mibovu kuanzia stendi hadi barabara zake...

Serikali yenyew haiteng bajeti na kuipeleka huko..manispaa imejaa wezi tu na wala hawatumbuliwi.



Tungeiacha kagera tu ikachukuliwa uganda na idd amin at least bukoba ingekuwa imepiga hatua
Dah!!. Nimesikitika sana kwa comment hii !! Una mapenzi ya kizalendo kabisaa na BK.. Sasa itakuwaje!? Umeitete sanaa !!!
 
Mimi nilishaacha kuipambania bukoba....nimewaachia bukoba yao nitakuja kuzikwa tu..


Mji una miundombinu mibovu kuanzia stendi hadi barabara zake...

Serikali yenyew haiteng bajeti na kuipeleka huko..manispaa imejaa wezi tu na wala hawatumbuliwi.



Tungeiacha kagera tu ikachukuliwa uganda na idd amin at least bukoba ingekuwa imepiga hatua
Ndugu yangu usikate tamaa. Endelea kuipambania Bk yenu.
 
Niliwachorea ramani na route za daladala hapo mjini bukoba na kuwapelekea manispaa waanzishe hizo route ili wachukue mapato kutokana ushuru waachane na bodaboda ambazo hazichangii lolote manispaa...
Niliambiwa maneno kama sisi tumezoea hiv...bukoba bado mji mdogo...nk nk..yaan viongozi hawawazi mbele na maendeleo ya mji wanajiwazia wao tu na familia zao....

Mimi sa hiv naupambania ukoo wangu tu...bukoba itajua yenyew
Duh.
 
kuna jamaa nlkua nafanya nae kaz kiukwel wahaya sifa n asil yao yan kimtu kinajisikia kijuaji kwanza kifup kila kitu chake ndio standar kulko vya wenzake wote mna raum ila anasema yake n special edtion yan mkienda bar hata kama umetumia hela yako kesho ukichelewa ofcn utaskia kinajsemesha hiii uyo reo awez kuamuka mapema kwa nlvyomtwsha jana ye anafakamia ma pombe ya kununuliwa mm henken zangu 6 yeye n balim 13 ataamuka uyo.. blalfaken mhya sio mtu
Hujui hata kuandika vizuri...ndo maana huyo mhaya anakudharau...

Wewe ni low profile
 
Ulichokisema ni zaidi ya Ukweli. Bahati nzuri tuna muda wa kujiandaa kumchagua wabunge 2025. Ikiwezekana hata huyu naibu waziri Byabato tumpige chini. Anaushawishi wa kuongea na ma waziri wenzake na wakamsaidia shida zake. Lakini kakaa tu na Makamba wanaiitana mjomba, mjomba. Umesema Kagera yagera.. Lakini mimi nasema 'Kagera yatoka'.
Tena wote wa kagera...huyo byabato na makamba mama yake wa misenyi...

Bado waziri wa tamisemi anayehusika na halmashauri ni wa karagwe lakin hata kushawishi stendi ya bukoba ijengwe hawezi..
 
Watu wa bukoba siyo watanzania Ni watu wa Uganda ndio maana serikali imewatenga ..watu wa bukoba Ni takataka kinoma 😂😂😂
Tatizo lenu bavichcdm mnaona njia rahisi ni kujaza chuki na utengano Kama mtaji wa kisiasa badala ya kujenga hoja.
 
Ninae mmoja jirani yangu alisogeza mpaka nikataka kufanya ujenzi wa ukuta nikamuita tunyooshe vizuri akaniambia yeye hana aliposogeza na kwamba mpaka ulivyo ndo ulivyotakiwa kuwa nikaachana nae nikajenga hivyo hivyo.

Week mbele nimeenda kazini narudi nakutana na samansi naitwa mimi serikali za mitaa kwamba nimesogeza mpaka wa jirani,nikiwa natafakari akatuma mtoto akisisitiza nisikose kuhudhuria maana baba amedhamiria kufika mbali siku ya kesi tukaenda eneo la tukio kilichoniokoa mjumbe aliyesimamia wakati nanunua alikuwepo na niliweka kwa mkono wangu alama ya nondo nilizichimbia chini akanikumbusha siku ile uliweka alama zako ziko wapi kuangalia zipo upande wake.

Sasa amejenga nyumba maji ya bati zake yanamwagikia kwangu kuna wakati huwa najiuliza kwamba mimi mpole sana au naonekana akili sina?
Ng'oa hizo bati...ukipakana au ukiwa jirani nao ni full kero na migogoro.
 
Niliwachorea ramani na route za daladala hapo mjini bukoba na kuwapelekea manispaa waanzishe hizo route ili wachukue mapato kutokana ushuru waachane na bodaboda ambazo hazichangii lolote manispaa...
Niliambiwa maneno kama sisi tumezoea hiv...bukoba bado mji mdogo...nk nk..yaan viongozi hawawazi mbele na maendeleo ya mji wanajiwazia wao tu na familia zao....

Mimi sa hiv naupambania ukoo wangu tu...bukoba itajua yenyew
Don give up Mkuu, wapambanie ndugu zako utapata Baraka kwa Muumba.
 
Back
Top Bottom