ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Ukiangalia hali ya mikoa na wilaya vinavyobadilika unaona kabisa Bukoba tuliachwa analog kila kitu Bukoba tuko nyuma sio stendi kuu sio soko kuu sio hospital sio vyuo vikuu yaani hatuna chuo kikuu hata kimoja mkoa mzima lakini ni mkoa unaoongoza kwa kuzalisha wasomi walioolowea ughaibuni.
Wasomi wasio na faida kazi ni kutujazia makaburi. Naandika kwa hasira hivi WAHAYA nani aliyewaloga? Yaani Mbunge anakarabati soko zee kwa kuezeka na bati za SENENE? Tumezidiwa na mshenga wa Yesu Mzee wa Kaprnaum?
Sijui CCM mtajibu nini kwa Muumba, kodi mnachukua hospital hakuna madawa shule hizo usiseme barabara mitaani hoi sijui narudia sijui.
Namaliza kwa kusema ABAHAYA inywena mweshubeho Kagera yagera.View attachment 2250488View attachment 2250490View attachment 2250489View attachment 2250491
Wasomi wasio na faida kazi ni kutujazia makaburi. Naandika kwa hasira hivi WAHAYA nani aliyewaloga? Yaani Mbunge anakarabati soko zee kwa kuezeka na bati za SENENE? Tumezidiwa na mshenga wa Yesu Mzee wa Kaprnaum?
Sijui CCM mtajibu nini kwa Muumba, kodi mnachukua hospital hakuna madawa shule hizo usiseme barabara mitaani hoi sijui narudia sijui.
Namaliza kwa kusema ABAHAYA inywena mweshubeho Kagera yagera.View attachment 2250488View attachment 2250490View attachment 2250489View attachment 2250491