FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,519
- 46,606
Jaribuni kulima hata ngano basi, kila siku ndizi tu?
Sio lazima kuishi nao. Hii nchi ina makabila zaidi ya 120 kwa nini ulazimishe kuishi na watu huwakubali, maamuzi ya maisha yako na lifestyle unayo weweIla ukiweza kuishi na Muhaya bila kukerekeka ,ama awe jirani yako au mahali pa kazi ,,tembea piga kifua sema Mimi mwambaaaa.....Nyie wenzetu mnajua kila kitu aiseee
Sahihi kabisa ni bora Mbeya ingekuwa Malawi au Zambia lakini sio Tz ambayo haina msaada wowote kwa mkoa.Na Mbeya nako wangesema pia wangeachwa waende MALAWI au sio?
usifananishe bukoba na mbeya mjini,mbeya iko mbali sana mkuu,compared to bukoba,kuanzia soko,stendi kuu,hospitals,vyuo vikuu nk,au unasema mbeya ipi labda.Mkoa wa Kagera umejaa wapumbavu waliosoma. Kwa mfano wabunge wake wote ni kenge hawawezi hata kutetea maslahi ya wananchi. Vilaza kama Diodorus Kamala wanafanya nini, mbunge wa Bkb Vijijini anafanya nini, yule Mwijage wa Muleba former waziri wa cherehani nne ni kiwanda anafanya nini. Wengine sijui Kiswahili ni shida wanaogopa kuchangia bungeni.
Tukija kwa raia, ni watu wagumu na watata kuishi nao. Ila hawawezi kutumia huo utata kuwa chachu ya maendeleo, wanautumia kwenye migongo na ubishi. Kujenga soko jipya au kurekebisha lililopo unakuwa mjadala wa zaidi ya miaka mitano, kujenga stendi mpya ni mjadala wa miaka zaidi ya saba. Hawawezi elewana ni ubishi na ujuaji.
Kwa kutengwa huo mkoa umetengwa kama Mbeya. Ila kuna miji mingine duniani ilikuwa hivi, kuna muda wa kupandishwa juu kwa mji fulani. Texas au California zilikuwa sehemu za ovyo sana kabla hazijajengwa kimkakati. Hapa nchini kuna maeneo yanakuzwa na kubebwa ila uzalishaji mdogo, kuna mengine yanatekelezwa. Sera zikibadilika fursa zikaonekana mzunguko wa kukua kwa haraka unahamia uko. At least kwa nchi maskini ingetambua fursa za haraka na gharama nafuu ikawezesha.
Moshi nayo haikui kabisa ila hawana upuuzi na hawavumilii kiongozi kilaza. Wako saturated maendeleo yao hayatarajiwi kuongezeka kwa kasi tena. Kwa sasa ni zamu ya kina Njombe na Kahama.
Kagera inategemea ndizi, kwa soko lipi? Kahawa ndio hivyo wabunge hawawezi itetea mwishoni unabaki na mkoa ambao sio productive. Wageni hamna, mji umejazana wenyeji wengi wao umwinyi na ushamba mwingi, mzunguko wa hela mdogo, ushindani mdogo, mbinu mpya kidogo. Na sio asili yetu kuwa wachapakazi, kazi za nguvu hatupendi kivile ndio maana ilikuwa rahisi tukasoma kwa wakoloni wakati wengine wanagoma wanachunga ng'ombe na kuwinda.
Mabadiliko serious yatayoanzishwa na serikali yanatakiwa, hasa social reforms. Na maeneo mengi ya nchi yana shida za hivi mfano mikoa ya Lindi
Mkuu usifananishe hivyo!Chonka iwe! mabati ya senene ni yap? mbona arusha mkurugenzi alitumia mabati kama ayo kujenga soko
Kwa hiyo mkuu tuki-calculate ndani ya hii miaka 60+ ya uhuru na kunavyoonekana sasa itaibidi Kagera japo kwa uchache kuchukua tena miaka mingine siyo chini ya 80 ili iifikie au iipite Moshi au Arusha?Mkoa wa Kagera umejaa wapumbavu waliosoma. Kwa mfano wabunge wake wote ni kenge hawawezi hata kutetea maslahi ya wananchi. Vilaza kama Diodorus Kamala wanafanya nini, mbunge wa Bkb Vijijini anafanya nini, yule Mwijage wa Muleba former waziri wa cherehani nne ni kiwanda anafanya nini. Wengine sijui Kiswahili ni shida wanaogopa kuchangia bungeni.
Tukija kwa raia, ni watu wagumu na watata kuishi nao. Ila hawawezi kutumia huo utata kuwa chachu ya maendeleo, wanautumia kwenye migongo na ubishi. Kujenga soko jipya au kurekebisha lililopo unakuwa mjadala wa zaidi ya miaka mitano, kujenga stendi mpya ni mjadala wa miaka zaidi ya saba. Hawawezi elewana ni ubishi na ujuaji.
Kwa kutengwa huo mkoa umetengwa kama Mbeya. Ila kuna miji mingine duniani ilikuwa hivi, kuna muda wa kupandishwa juu kwa mji fulani. Texas au California zilikuwa sehemu za ovyo sana kabla hazijajengwa kimkakati. Hapa nchini kuna maeneo yanakuzwa na kubebwa ila uzalishaji mdogo, kuna mengine yanatekelezwa. Sera zikibadilika fursa zikaonekana mzunguko wa kukua kwa haraka unahamia uko. At least kwa nchi maskini ingetambua fursa za haraka na gharama nafuu ikawezesha.
Moshi nayo haikui kabisa ila hawana upuuzi na hawavumilii kiongozi kilaza. Wako saturated maendeleo yao hayatarajiwi kuongezeka kwa kasi tena. Kwa sasa ni zamu ya kina Njombe na Kahama.
Kagera inategemea ndizi, kwa soko lipi? Kahawa ndio hivyo wabunge hawawezi itetea mwishoni unabaki na mkoa ambao sio productive. Wageni hamna, mji umejazana wenyeji wengi wao umwinyi na ushamba mwingi, mzunguko wa hela mdogo, ushindani mdogo, mbinu mpya kidogo. Na sio asili yetu kuwa wachapakazi, kazi za nguvu hatupendi kivile ndio maana ilikuwa rahisi tukasoma kwa wakoloni wakati wengine wanagoma wanachunga ng'ombe na kuwinda.
Mabadiliko serious yatayoanzishwa na serikali yanatakiwa, hasa social reforms. Na maeneo mengi ya nchi yana shida za hivi mfano mikoa ya Lindi
Nitakuja hukoDada zetu wa Kagera ni wakarimu kwa watu wote
We jiulize Kodi inayokusanywa Kagera inaenda wapi?je Kodi ya Morogoro,Arusha inaenda wapi?kama yote inaenda mfuko mkuu wa serikali,inakuje pesa zinarudishwa kujenga miundombinu Arusha,Morogoro,Singida na sio Kagera?Ukiangalia hali ya mikoa na wilaya vinavyobadilika unaona kabisa Bukoba tuliachwa analog kila kitu Bukoba tuko nyuma sio stendi kuu sio soko kuu sio hospital sio vyuo vikuu yaani hatuna chuo kikuu ata kimoja mkoa mzima lakini ni mkoa umaoongoza kwa kuzalisha wasomi walioolowea ughaibuni.
Wasomi wasio na faida kazi ni kutujazia makaburi. Naandika kwa hasira ivi WAHAYA nani aliyewaloga? Yaani Mbunge anakarabati soko zee kwa kuezeka na bati za SENENE? Tumezidiwa na mshenga wa Yesu Mzee wa Kaprnaum?
Sijui CCM mtajibu nini kwa Muumba, kodi mnachukua hospital hakuna madawa shule hizo usiseme barabara mitaani hoi sijui narudia sijui.
Namaliza kwa kusema ABAHAYA inywena mweshubeho Kagera yagera.View attachment 2250488View attachment 2250490View attachment 2250489View attachment 2250491View attachment 2250492
Hahaha miyeyusho hivi?Ila ukiweza kuishi na Muhaya bila kukerekeka ,ama awe jirani yako au mahali pa kazi ,,tembea piga kifua sema Mimi mwambaaaa.....Nyie wenzetu mnajua kila kitu aiseee
kuna jamaa nlkua nafanya nae kaz kiukwel wahaya sifa n asil yao yan kimtu kinajisikia kijuaji kwanza kifup kila kitu chake ndio standar kulko vya wenzake wote mna raum ila anasema yake n special edtion yan mkienda bar hata kama umetumia hela yako kesho ukichelewa ofcn utaskia kinajsemesha hiii uyo reo awez kuamuka mapema kwa nlvyomtwsha jana ye anafakamia ma pombe ya kununuliwa mm henken zangu 6 yeye n balim 13 ataamuka uyo.. blalfaken mhya sio mtu





Alikufanyaje mkuu?Shemeji zangu nyie karibu tulye ebitoke.
Kwajinsi dada yenu 'alivyonifanzia mambo masenge' naomba muendelee kuteseka tu wahaya ni watu wa hovyo katika hii nchi siwapendi hata punje.
Umeongea point sana shida iko kwenye mgawanyo wa keki ya Taifa.Bukoba kama Newala tuu, Newala pia hakuna stand tupo tupo tuu, viongozi hawajali,
Juzi kati nilikua Nyamongo njiani pale Mwanza nimeona stand nzuri nje ya Kisesa, pia na ile ya Nyegezi sijui Buzuruga,
Viongozi gaweni hizo Keki kwa watu wote msitubague na wengine
Ninae mmoja jirani yangu alisogeza mpaka nikataka kufanya ujenzi wa ukuta nikamuita tunyooshe vizuri akaniambia yeye hana aliposogeza mpaka ulivyo ndo ulivyotakiwa kuwa nikaachana nae nikajenga hivyo hivyo.Ila ukiweza kuishi na Muhaya bila kukerekeka ,ama awe jirani yako au mahali pa kazi ,,tembea piga kifua sema Mimi mwambaaaa.....Nyie wenzetu mnajua kila kitu aiseee
Nakukosoa kidogo mkuu wakati Munispal inaongozwa na Upinzani hapakuwa na tatizo kwani waliweza kuondoa mitafaruku iliyoachwa na Kagasheki alitekuwa Mbunge kwa miaka 10 akitofautiana na aliyekuwa Meya Dr.Anatory Amani ata kikwete alifika Bukoba mala mbili kumaliza ugomvi ule akashindwa kabisa maana Balozi Kagasheki alikuwa rafiki wa Kikwete uku Dr.Amani akiwa na nguvu kwenye Chama cha Ccm.We jiulize Kodi inayokusanywa Kagera inaenda wapi?je Kodi ya Morogoro,Arusha inaenda wapi?kama yote inaenda mfuko mkuu wa serikali,inakuje pesa zinarudishwa kujenga miundombinu Arusha,Morogoro,Singida na sio Kagera?
Hapa usiwalaumu Nshomile(wahaya)maendeleo yanapqngwa serikali kuu,Dar,harafu pesa zinarudishwa Chini.
Kwa Kagera,Kuna Siasa zinaingilia sana mambo ya uchumi,Manispaa ikiwa chini ya upinzani,wahafidhina wa ccm watapinga na kuweka vikwazo pesa isije kujenga miundombinu,Ili wapinzani wasionekqne wanaleta maendeleo.
It's just bad politics,taasisi mbovu na Siasa mbovu,ndio zinasababisha yote,