Bukoba tumebaki analogi

Bukoba tumebaki analogi

Arusha na Moshi zina mazingira tofauti kabisa na Bukoba au Kagera nzima. Kaskazini kuna mzunguko mkubwa wa fedha na vyanzo vingi vya mapato. Mlima Kilimanjaro unaleta mapato mengi, pale Arusha ni soko la madini, utalii mwingi unapita mikoa hiyo. Kagera mkoa una resources ambazo hazijaguswa ni kitendo cha kutokea sera za maana zilizosimama na viongozi sahihi miaka mitano tu mkoa unakuwa level za juu.
Nimeishi Moshi nikazuru Arusha, Arusha ni jiji ila tofauti ya Moshi na Bukoba kwa maendeleo ni ndogo wala hakuna widening of gap.

Kwanza hakuna umaskini kivile, tatizo ni ukosefu wa vyanzo vya mapato. Nimezaliwa Bukoba na kusoma uko O level sijawahi kuona tractor wala combine harvester, nimekuja kuyaona mikoa mingine. Sikuwahi ona mtaalamu wa kilimo wa serikali uko, sikuwahi ona pembejeo zinatolewa na serikali, ule mkoa ni semi autonomous ndio maana wana jeuri ya kutukana Rais kwenye kampeni maana hawamtegemei kwa lolote. Serikali au viongozi wakiamka wakaweka sera nzuri ambazo hata sio gharama kubwa utashuhudia kilimo cha kahawa kinakua haraka sana, vannila, parachichi, ndizi. Hivyo vyote wala serikali haihitajiki kutoa hela.

Mkoa unaishi kwa remittance kutoka mikoa mingine, sio kama Shinyanga wanaouza madini nje wakawa na hela za nje nje ukienda kuuza hata mitumba au viatu unapata wateja. Mtwara wakiuza korosho ukienda kuwauzia simu wananunua, Kagera mwaka mzima hauna msimu wa hela. Hawafi njaa ila hawana hela. Mipaka yenyewe ndio hiyo yenye migogoro, wakati Arusha wamepakana na Kenya yenye mahitaji tofauti na Tanzania, Kagera iko na Uganda ambao bidhaa zao na za Kagera ni zilezile. Utatoka Songea upite Arusha uuze mahindi Kenya, uliwahi sikia bidhaa yoyote ya msingi tunaiuza Uganda? Bidhaa za Uganda zina bei nafuu wakati hawana bandari, nguo zinanunuliwa China zinapita Mombasa zinaingia Uganda tunaenda zinunua Mutukula ya Uganda kwa bei nafuu kuliko zinazopita bandari ya DSM. Humu JF kuna nyuzi za biashara na Uganda, katafute kama kuna mjadala wa exportation, badala yake ni importation kutoka Uganda. Majirani wengine ni Rwanda na Burundi, tuna majirani wa hasara wao muda wowote wanatuletea wakimbizi, majambazi, wagonjwa wa Ebola, Zika virus na UKIMWI. All of them they don't have purchasing power.

Kagera ina disadvantages kuendelea ila inahitaji serious efforts kidogo. Kwanza umbali wenyewe tatizo, mtu utabeba mbao, ng'ombe, maziwa, mazao kutoka kule. Gharama za usafirishaji ni kubwa unatafuta alternative eneo la karibu, kule hakuna reli. Kama demand ni ndogo na uzalishaji ni mdogo
Noted.
 
Rais hawezi kuzindua mradi wa stend kuu kwasababu ilijengwa na wapinzani. Awa Ccm wana ghirba hujapata kuona sijui kazi ya usalama wa taifa niipi? Ujinga kama uo unafanyika pesa za walipa kodi zimetika lakini wanagoma kuendeleza ujenzi nasikia wanatafuta eneo jingine. Yaani ccm ni hatari kuliko nyoka. Ukiangalia apo Chadema walipambana kubadilisha mji walijenga barabara za mfano na taa zake walinunua kiwanja na kuanza ujenzi mpaka apo walifanikiwa kujenga barabara za kuingia stend kwa kiwango cha lami na kujenga mitaro, walijenga kituo cha polis na vyoo na sehemu za watu kusubiria magari lakini mwendazake alipovuruga uchaguzi na kuwaondoa wote sasa ivi ni full ccm hawana habari na maendelo kibaya zaidi wanagombana wao kwa wao ata Mbunge ameamua kufanya yake bila kushirikiana na madiwani.
Bukoba tunamlaumu Magufuli alituondoa kwenye leli sasa ivi tungekuwa na soko na stend lakini pia kungekuwa na maendeleo makubwa tena kwa muda mfupi.
Mungu amuweke magufuli alikostahili.View attachment 2251930View attachment 2251931View attachment 2251932
IMG_6789.jpg
 
Rais hawezi kuzindua mradi wa stend kuu kwasababu ilijengwa na wapinzani. Awa Ccm wana ghirba hujapata kuona sijui kazi ya usalama wa taifa niipi? Ujinga kama uo unafanyika pesa za walipa kodi zimetika lakini wanagoma kuendeleza ujenzi nasikia wanatafuta eneo jingine. Yaani ccm ni hatari kuliko nyoka. Ukiangalia apo Chadema walipambana kubadilisha mji walijenga barabara za mfano na taa zake walinunua kiwanja na kuanza ujenzi mpaka apo walifanikiwa kujenga barabara za kuingia stend kwa kiwango cha lami na kujenga mitaro, walijenga kituo cha polis na vyoo na sehemu za watu kusubiria magari lakini mwendazake alipovuruga uchaguzi na kuwaondoa wote sasa ivi ni full ccm hawana habari na maendelo kibaya zaidi wanagombana wao kwa wao ata Mbunge ameamua kufanya yake bila kushirikiana na madiwani.
Bukoba tunamlaumu Magufuli alituondoa kwenye leli sasa ivi tungekuwa na soko na stend lakini pia kungekuwa na maendeleo makubwa tena kwa muda mfupi.
Mungu amuweke magufuli alikostahili.View attachment 2251930View attachment 2251931View attachment 2251932View attachment 2251933
Barabara za kuingia stend kuu mpa
IMG_6804.jpg
 
Wahaya wengi hawawekezi kwao ila wanaenda kule kujaza makaburi tu kama ni mabadiliko muanze nyie wenyewe

Uzuri nimeishi kule kwa miaka 4
*Wahaya muache umimi usisi na kujiona
*Muache uvivu na ulevi
*Muache ubishi linapokuja suala la maendeleo

NB:kwa mara ya kwanza mkoa wa kagera nimeona taxi inabeba watu 13
Haaaaa nmecheka kama mazuri umenikumbusha mbali nilikua natoka ishozi ndo kwetu nikachelewa kupata gari ya kwenda bk toun maana nilikua naenda kulala mjini ili nipande gari za arusha sa 11 asbuhi .bwana we kikaja kitex vile vi cardina tulijazwa mle kama me nilkaa SITI ya dreva jamaa akawa anaendesha gari akiwa nje kaptisha mguu mmoja kwenye mlango.
 
Mimi nilishaacha kuipambania Bukoba....nimewaachia Bukoba yao nitakuja kuzikwa tu..

Mji una miundombinu mibovu kuanzia stendi hadi barabara zake...

Serikali yenyewe haiteng bajeti na kuipeleka huko.. manispaa imejaa wezi tu na wala hawatumbuliwi.

Tungeiacha Kagera tu ikachukuliwa Uganda na Idd Amin at least Bukoba ingekuwa imepiga hatua.
kumbe enzi zile ulikuwa unailinganisha Bukoba na Moshi ndio ulikuwa unailinganisha 😂..

lazima utatubu tu mkuu.

Uliikosea sana Kilimanjaro
 
kumbe enzi zile ulikuwa unailinganisha Bukoba na Moshi ndio ulikuwa unailinganisha ..

lazima utatubu tu mkuu.

Uliikosea sana Kilimanjaro
Hata nyie mji wenu una matatizo yenu...tukianza kuyataja hapa..hapakaliki

Tanzania kama nchi bado sana
 
Haaaaa nmecheka kama mazuri umenikumbusha mbali nilikua natoka ishozi ndo kwetu nikachelewa kupata gari ya kwenda bk toun maana nilikua naenda kulala mjini ili nipande gari za arusha sa 11 asbuhi .bwana we kikaja kitex vile vi cardina tulijazwa mle kama me nilkaa SITI ya dreva jamaa akawa anaendesha gari akiwa nje kaptisha mguu mmoja kwenye mlango.
Mpaka leo magari ya Ishozi na Bugabo ni taabu ila inatokana na ubovu wa barabara maana wenye magari wanaogopa kupeleka magari yao mazuri yasipelekwe kule
 
Ukiangalia hali ya mikoa na wilaya vinavyobadilika unaona kabisa Bukoba tuliachwa analog kila kitu Bukoba tuko nyuma sio stendi kuu sio soko kuu sio hospital sio vyuo vikuu yaani hatuna chuo kikuu hata kimoja mkoa mzima lakini ni mkoa unaoongoza kwa kuzalisha wasomi walioolowea ughaibuni.

Wasomi wasio na faida kazi ni kutujazia makaburi. Naandika kwa hasira hivi WAHAYA nani aliyewaloga? Yaani Mbunge anakarabati soko zee kwa kuezeka na bati za SENENE? Tumezidiwa na mshenga wa Yesu Mzee wa Kaprnaum?

Sijui CCM mtajibu nini kwa Muumba, kodi mnachukua hospital hakuna madawa shule hizo usiseme barabara mitaani hoi sijui narudia sijui.

Namaliza kwa kusema ABAHAYA inywena mweshubeho Kagera yagera.View attachment 2250488View attachment 2250490View attachment 2250489View attachment 2250491View attachment 2250492

Bukoba tumebaki analogi kimaendeleo ila kwa totos mko juu sana​

 
Back
Top Bottom