Bukoba sirudi tena ng'o

Bukoba sirudi tena ng'o

Mleta mada una matatizo nashawishika kusema una chuki binafsi hata usingeenda unadhani bukoba ingepungukiwa nn? au unapima upepo?
 
Mimi naona mtoa mada ana sababu,lakini angesema kulingana na vigezo eg.
Kama watu wakitokea kwao kuja TZ wanasema nchi masikini,shida hamna kitu ,lakini wakiingia hawatoki wanapopaponda.Mimi niko tayari kukuonyesha unachohitaji in minutes pamoja na kuwa siko nchini.
Nyumba nazo unazitafuta kweli?Onyesha kwa vigezo eg.

Hotel nzuri-hamna
Lodge nzuri-hamna
Barabara nzuri-hamna
Beach-hamna
Shule-hamna
Matajiri-hamna, meaning kama wenye ndege /helicopters/porsche zinasubiri safari au hawana hata 1b kwenye banks
Uwanja wa Golf-hamna
Uwanja wa ndge-hamna
Watu wanatembea-uchi,
Hewa-chafu
Samaki-hamna
Hawana hata mifugo ya dawa
Ndizi hawana
Wanaume/wanawake-hamna
Viwanda -hamna(e.g Kagera Sugar,Fish processing, TV manufacturing, motor bike manufacturing )
University-hamna
Hawana hata revolving restaurant 1,
Hawana hata bank 1
Maji ya kunywa-hamna
Ofisi-hamna
Usafiri-hamna(eg ndege, buses etc)
Kuna sehemu unaweza kufikia ukajuta kwa nini uko BKB, kama unavyoweza kujuta ukiingia DSM ukafikia Manzese /kwa mfuga mbwa.Na usiende viwanja ukarudi usukumani.
Maliza ukimbie kutoka huko usifie huko.Wakati wa kurudi,tumia Bunda Bus.:israel:
 
Ndg yangu Kifai,hivi unakumbuka kuna mtu alitumia ID yako akaandika hayochini??Jirudie zako NYAKATO –MZA,ukale pilipili/shitto na upambane na TANESCO,hapo kuna umeme au napo ni mgao kutoka Uganda?
.Nina imani una maana BUKOBA na sio Kagera?Lakini umewapa changamoto
============


Toka juzi kumekuwa na katabia kachafu kwa tanesco kukata umeme maeneo ya nyakato nzima bila kutupa taarifa kamili kwa kweli mnatuboa,
we golota naona unatafuta mwanaume huku, plse mi nishaoa nikikutaka sana sana utakuwa mchepuko wangu mbaya zaidi siangalii jinsia nyau wewe
safi sana hawa kina komba wote ni wa kunyonga kabisaaaaa tena huyu sitta ndo kisirani kabisaaaaa
Kafie mbali fisi maji wewe
safi sana hawa kina komba wote ni wa kunyonga kabisaaaaa tena huyu sitta ndo kisirani kabisaaaaa
Naombeni kuuliza ni wapi nitapata pilipili aina ya shitto kwa hapa Tanzania!? Kwa wale wanayoijua tafadhali ni habarisheni hii kitu plsee! Hii ni pilipili ya wenyeji wa nchini Ghana.
Tupo hapa kwa mrombooo tushangangishana hela ya mafuta ya kuendeshea generator, hata wakate umeme kesho tunao tuu, labda wakate matangazo liveee
Kwendraaaaaa huko fisi wewe,
Kama huna ushauri kaa kimya, wewe unaanza kuhoji tena?? Kama angekuwa ame plan asingekuja kuomba ushauri hapa, kitimoto wewe,
Una pepo wewe, au kamkataa dada ako??
Jamani mi mgeni hapa mwanza nimefika juzi tuu kutoka huko nitokapo, nimekuwa nashindwa hata kufanya mambo yangu kwenye net kwa kutumia mtandao wa voda, huwa una load hadi karaha, kwa wenyewe wa hapa...
Safi sana kamanda, karibu hadi ndani mkuu, cha msingi uwe mvumilivu humu ndani cause kuna raha na karaha plus shombo
Nishajichanganya kabisa asee, nimeamka huku nikijua kabisa ni ijumaa kuu leo, cha ajabu nimefika sehemu nikawakuta jamaa zangu wanakunywa supu ya mbuzi, kutokana na njaa nilikuwa nayo nikajikuta...
Nimefika hapa takribani wiki moja iliyoisha yani mjii huu ni tofauti na nilivyouzania kutokana na majigambo ya ndg zetu wahaya, miundo mbinu na mji ulivyokaa basi taabu kweli kweli, natamani kilichonileta huku nimalize fasta nirudi zetu kwetu mwanza,,
 
Nakusapoti bukoba ni kubaya jmn tofauti usinigambile stupid infront of my wife wanavojifanya mjini.
Sipapendi pia nkienda kule labda napita njia .ni kubaya hata gairo pazur
 
Kwa shughul ya udereva niloifanya pamoja na kuzaliwa Mwanza miaka 28 iliyopita nazifahamu wilaya zote za kanda ya ziwa hayo maneno ya mleta uzi nikwa sababu alichofikiria ni zaidi ya alichokikuta lkn ni dhahir kuwa bukoba ni pazur......na asiseme bora arudi mwanza kama kwao ni sengerema,misungwi,usagara,magu,kisesa,buchosa kwa maana licha ya sehemu hizo kuwa mwanza hali zake ni mbaya sana,,,,!!!!
 
Nimefika hapa takribani wiki moja iliyoisha yani mjii huu ni tofauti na nilivyouzania kutokana na majigambo ya ndg zetu wahaya, miundo mbinu na mji ulivyokaa basi taabu kweli kweli, natamani kilichonileta huku nimalize fasta nirudi zetu kwetu mwanza,,
We ulitegemea ukutane na nyumba za Tembe na Mazizi ya ng'ombe mjini????, au ulitegemea ukutane na nyika au mbuga zisizokuwa na watu Vijijini???, we inaonekana umeshangaa kuona Migomba na Mikahawa ilivyotanda ukadhani ni misitu: huo ni ushamba wa kutotembea.
 
...karibu UCHAGGgaanni ....lushinje mburu na kichoryiiii lunyooooo....
 
Ndugu zangu wahaya endeleeni sana kusifu kwenu kila kukicha wala msitetereke. Mtu unatakiwa usifie kwako na kamwe msidharau kweni kwani huo ni utumwa. Mbona wachaga wanasifia sana kwao na mji wao ni sawa tu na Bukoba?.
 
Kuna msemo wa kimpmbo unasema East or West, home is best!

Tena kuna msemo wa kikwetu usemao, nyumbani ni nyumbani hata kama ni pangoni!

Tukamalizia kwa kusema, mdharau kwao ni mtumwa!

Should I say more? Nenda Bukoba, Kigoma, Sumbawanga, Songea, Kibaha, Lindi, Mtwara, Babati, Musoma, Singida, Tabora nk. Kote pako hoi, na hiyo ndio Tanzania yetu. Ni kielelezo cha umasikini wetu sote.

Vv

We jamaa umemaliza , kama hajaelewa tunamrudisha vidudu
 
Acheni chokochoko ndogo kama hizi ambazo baadae huwa zinaleta uadui.

Hata kama ulisikia anajigamba mwache, mtu anajivunia kwake.

Mtu kwao, nyumbani ni nyumbani


bwanae mtu kwao wewe urudi usirudi kwani huko ni kwenu ? waache wenye kwao wewe angalia kwenu kunani.
Inawezekana wewe unatabia mbaya ya kudharau wenzako. una taabu sana wewe
 
Nimefika hapa takribani wiki moja iliyoisha yani mjii huu ni tofauti na nilivyouzania kutokana na majigambo ya ndg zetu wahaya, miundo mbinu na mji ulivyokaa basi taabu kweli kweli, natamani kilichonileta huku nimalize fasta nirudi zetu kwetu mwanza,,

Bukoba umeme uwa haukatwi, labda litokeeee jambo lisiloweza kuzuirika.

kuna baridi nzuri, kwa mie nilipapenda.

ungezunguka na vijijini kuona majengo ya wa bkkb as wao ujenga nyumbani sio kwa pembe za barabara za serikali au mjini.
 
Hiyo ni kawaida mi sishangai mti wenye matunda ndo hupondwa mawe!
 
Back
Top Bottom