Bukoba sirudi tena ng'o

Bukoba sirudi tena ng'o

Nimefika hapa takribani wiki moja iliyoisha yani mjii huu ni tofauti na nilivyouzania kutokana na majigambo ya ndg zetu wahaya, miundo mbinu na mji ulivyokaa basi taabu kweli kweli, natamani kilichonileta huku nimalize fasta nirudi zetu kwetu mwanza,,
we kweli kichaa
 
Pole sana mkuu, yaelekea uliopoa kidosho sasa umeshindwa ile staili yetu ya soko la KATERERO
 
MKUU
Achana na hao watu, tumekwisha wazowea kwa majigambo yao,
eti mimi hivi....
eti sisi hivi......
eti kwetu hivi........
Kumbe weupe kabisa, wakijikuna wanatoka vumbi. Hamna kitu hapo.
Ndio maana.........
Wewe jiulize kwa nini iko hivyo.
Mwenye nacho siku zote hana majigambo.
 
Skating on thin ice....
Hukatazwi kujigamba kwa kuwa ulichonacho hakimvutii mwingine
 
= wanaringa
1375080_730484873643762_2031347416_n.jpg
 
Ni kweli wahaya ni watu wanaoongoza miongoni mwa makabila yanayoongoza kwa watu wake kuwa na elimu ya juu na pia uwezo wa kiuchumi. Tatizo lao mimi naona wanawekeza zaidi nje yaani kwenye mikoa ya nje ya kwao kuliko kwao. Angali majumba ya kifahari yaliyopo Dsm na sehemu nyingine za nchi, angalia mashule yanayofanya vizuri, angalia mashirika mbali mbali ya binafsi nk. Wahaya ni matajiri lakini wamewekeza utajiri wao nje ya mkoa wao na wengi ni kama wamehama kabisa kwao ambapo huenda mara moja moja hasa wakati wa misiba tofauti na wachagga ambao wamewekeza kwao vizuri na hurudi kwao kila mwaka kufanya maendeleo ndio maana ukienda vijijini utakuta majumba ya nguvu kuliko hata yaliyopo mjini Dsm na kwingineko
Pia hawapendi kusaidia ndugu zao waliowaacha vijijini ,wanapenda waendelee kuwa hivyohivyo ili kila wakirudi likizo waabudiwe na kuonekana tofauti na wengine.though kwa mleta mada juu ya Bukoba ni pointless kwani hata marehemu Shabaan Robert aliwahi kusema ''Titi la mama ni tamu hata kama ni la mbwa''
 
Back
Top Bottom