Bukoba sirudi tena ng'o

Bukoba sirudi tena ng'o

Sasa hutaki mtu ajivunie kwao ili ajivunie kwenu? umekosa point make unavyoongea kama vile ulifungwa kamba kwenda kule ..rudi kwenu nawe ukasifie siyo kuponda vya wenzenu kana kwamba Mwanza yote ni maghorofa wakati maeneo yote maisha ya wenyeji wa huko vijijini tunayaelewa sana so ongea ukumbuke kujibakishia na ya kesho
 
nyumba za hatari muleba vijijini ziko wapi?izigo au Katoke B?Vijiji vya muleba ni hoi bin taabani si kaboya kyamkwikwi kimbugu nk ni hoi.sema wahaya misifa tu ya ajabu
Pale Muleba nyumba nzuri ya kisasa yenye standard za maana ni ya Anna Tibaijuka tu. Nyinginezo labda majengo ya serikali ukiondoa Mahakama
 
Last edited by a moderator:
Nimefika hapa takribani wiki moja iliyoisha yani mjii huu ni tofauti na nilivyouzania kutokana na majigambo ya ndg zetu wahaya, miundo mbinu na mji ulivyokaa basi taabu kweli kweli, natamani kilichonileta huku nimalize fasta nirudi zetu kwetu mwanza,,
Nasikia bukoba kuna sehemu wamejaa wahindi na waarabu
 
Nimefika hapa takribani wiki moja iliyoisha yani mjii huu ni tofauti na nilivyouzania kutokana na majigambo ya ndg zetu wahaya, miundo mbinu na mji ulivyokaa basi taabu kweli kweli, natamani kilichonileta huku nimalize fasta nirudi zetu kwetu mwanza,,

kabla ya kwenda kule nadhani utakuwa ulitokea Tokyo-Japan vinginevyo una emotions na depressions
 
Pale Muleba nyumba nzuri ya kisasa yenye standard za maana ni ya Anna Tibaijuka tu. Nyinginezo labda majengo ya serikali ukiondoa Mahakama

Humu ndani kama hamjaongea wahaya/wachagga naona siku haijaisha salama,si mrudi kwenu ama huko makwenu sie huwa hatuendi mbona hatuyasemi ya kwenu? mwongee ya kwenu bwana mnachosha make hata kama wahaya wanalala chini wewe inakuuma nini ama hata hotel hauzioni ukajilalie huko kesho uamke urudi kwenu?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hauko sawa kabisa lambda ulitegemea ni ni zaidi na haujapata?

Kifai ana hoja. Lakini nadhani hajaizunguka vizuri Bukoba. Hata mimi nilipofika bukoba kwa mara ya kwanza niliwaza kama Kifai lakini nilikuja kugundua kuwa bukoba imetawanyika sana. Ukienda ile njia ya bandarini kule kwenye ofisi za usalama wa taifa jirani na hoteli ya wakatoliki kuna vitu vya maana vimejengwa. Bukoba haina shida ya social services. Maji ya kumwaga, umeme wa kumwaga, hospitali zipo, shule za kutosha, kuna vyuo vikuu viwili vya Sauti na Tumaini, kuna kiwanda cha Sukari, ukienda mitaa ya uwanja wa ndege kuna hoteli kubwa nzuri sana kwa mfano ile ya KKKT, Prince hotel na majumba makubwa. Tatizo la bukoba labda ni mtandao wa barabara kuunganisha mitaa ya bukoba uko vibaya, stendi ya mkoa iko hovyo na 'ka udini' kwa mbaaaaaali hasa maeneo ya mjini pale Manyema cafe kwa diwani wa chama cha KAFU
 
Last edited by a moderator:
Taratibu mkuu, kwani ulitegemea kuona au kupata nin?
Mimi pia nina wiki mbili hapa nimefikia hapa Coffee Tree Hotel karibu na Mkuu wa Mkoa
Hajaonjeshwa Katerero huyo
anafikiri zimezagaa barabarani
msaidie au makamatie km hakupiga mayowe Boojoo waitu na Mwanza harudi
 
mimi nimefika bukoba mara nyingi. kwa standard za miji mingi ya tz bk wala siyo mbaya, vijijini kama kanyigo na muleba kuna nyumba za hatari ambazo hata zina weza compete na za miji mikubwa. acha majungu mitandaoni, speak facts. by the way kwenu wapi?

wachana nae hajitambui huyu. kwao ni kisarawe.
 
Ni vigumu kuuona uzuri wa bukoba kama ulienda na Bus. Nahisi wewe mleta mada utakuwa ulienda bukoba na bus za Bunda, ukafika stand la vumbi kisha ukaenda kuishi Lodge za Uswahilini. Laiti ungekuja na ndege ukaenda kuishi hoteli nzuri kibao zilizojazana Uganda road, Kashura, Uzunguni na Nyamkazi naamini usingekuja hapa kuongea huu upuuzi.

Hivi kama una unakuja Dar ukashuka pale ubungo terminal alafu ukaenda kuwatembelea ndugu zako wanaoishi Kwa mtogole, mbagala, au temeke kisha ukarudi makwenu unafikiri mtu akikwambia dar ni pazuri kuna viwanja vikali na watoto wazuri utamuelewa???

Jifunze kutembeatembea kila upatapo fursa ya kusafiri.
 
Nimefika hapa takribani wiki moja iliyoisha yani mjii huu ni tofauti na nilivyouzania kutokana na majigambo ya ndg zetu wahaya, miundo mbinu na mji ulivyokaa basi taabu kweli kweli, natamani kilichonileta huku nimalize fasta nirudi zetu kwetu mwanza,,

Hayo unayoyapendelea kwenu Mwanza uliza yanamilikiwa na watu wa wapi
 
Nimefika hapa takribani wiki moja iliyoisha yani mjii huu ni tofauti na nilivyouzania kutokana na majigambo ya ndg zetu wahaya, miundo mbinu na mji ulivyokaa basi taabu kweli kweli, natamani kilichonileta huku nimalize fasta nirudi zetu kwetu mwanza,,

Kuna msemo wa kimpmbo unasema East or West, home is best!

Tena kuna msemo wa kikwetu usemao, nyumbani ni nyumbani hata kama ni pangoni!

Tukamalizia kwa kusema, mdharau kwao ni mtumwa!

Should I say more? Nenda Bukoba, Kigoma, Sumbawanga, Songea, Kibaha, Lindi, Mtwara, Babati, Musoma, Singida, Tabora nk. Kote pako hoi, na hiyo ndio Tanzania yetu. Ni kielelezo cha umasikini wetu sote.

Vv
 
nyumba za hatari muleba vijijini ziko wapi?izigo au Katoke B?Vijiji vya muleba ni hoi bin taabani si kaboya kyamkwikwi kimbugu nk ni hoi.sema wahaya misifa tu ya ajabu

Hata mimi nashangaa muleba ipi hiyo? Kifupi Muleba ni wilaya iliyodumaa.
 
tz mi naona wilayani na mijini asilimia kubwa kunafanana fanana
 
Back
Top Bottom