Bukoba sirudi tena ng'o

Bukoba sirudi tena ng'o

Wahaya wanadai wenyewe soon Bukoba itaipiku DUBAI. Tuvute subira
 
Nimefika hapa takribani wiki moja iliyoisha yani mjii huu ni tofauti na nilivyouzania kutokana na majigambo ya ndg zetu wahaya, miundo mbinu na mji ulivyokaa basi taabu kweli kweli, natamani kilichonileta huku nimalize fasta nirudi zetu kwetu mwanza,,
Hahaaaaaa! kwani hawajakupeleka kwenye gulilo la katerero mkuu!!!!!
 
Mikoa mingi ya pembezoni ukiilinganisha na Bukoba , bukoba ni afadhali sana.... hata hali ya hewa pamoja na ujenzi.....mikoa hii mingi ilisahaulika sana, ahsante Mkapa kwa kufungua njia Kigoma, Lindi, Mtwara, Ruvuma bkb... hawa wote ni jamii 1 tu....
 
hivi Tanzania mzima, ina Wilaya zaidiiii ya mia moja, lakini Wilaya Chache Sana zenye hadhi Kama ya au kuzidi BUKOBA Nazo haizidi kumi na tano, hapa Nasema, ilala, Kinondon, nyamagana, Temeke, mbeya, iringa mjini, Dodoma, musoma, Arusha mjini, moshi, ilemela, morogoro, tanga mjini, bas, sasa nyingine Ipi ambayo ipo katika viwango vya bukoba??
 
hivi Tanzania mzima, ina Wilaya zaidiiii ya mia moja, lakini Wilaya Chache Sana zenye hadhi Kama ya au kuzidi BUKOBA Nazo haizidi kumi na tano, hapa Nasema, ilala, Kinondon, nyamagana, Temeke, mbeya, iringa mjini, Dodoma, musoma, Arusha mjini, moshi, ilemela, morogoro, tanga mjini, bas, sasa nyingine Ipi ambayo ipo katika viwango vya bukoba??

Kahama sasa ni kubwa kuliko Bukoba. Na sasa Geita inakuja kasi baada ya muda itaizidi bukoba kwa mbali. Na wahaya wengi wanakimbilia kuishi Geita, Kahama Na Mwanza. Wanajiskia vizuri kuishi maeneo Hayo kuliko Migombani kwenye umande uliokithiri.
 
We ulienda kukagua mijiya watu au kufanya kazi?
 
Ni sawa KABISA mkuu ukitoka nje ya mji na kwenda vijijin uko ndoutakuta majumba ya kifahali ambayo mjin uyaon na hiyo ndoinabaki sifa pekee ya wahaya wanajali sana makaz yao tofaut na mikoa mwingine watu uishia kuwekeza mijin na kusahau nyumban,mfano ukitembelea vijijin vya kamachumu muleba,maruku,kiziba na vinginevyo vingi apondoutawakubali wahaya maana utais uko Ulaya.
 
Ndo hii ukipita mkoa flan ukiwa ndan ya bus ukiulizwa ubila aibu nasema mkoa flan naufahamu nshafka km ndugu yangu anaesema muleba ni wilaya ilodumaa akika alipita akiwa ndan ya Gar ingia vijijin ,nenda iliko hosptal moja inaitwa Ndolage ukajionee uko kukoje km ujahis uko ulaya ,Kwa wanaojua wilaya ya kiliombelo ifakara Chita mgeta HD safu ya milima ya udzungwa ule ukijan kibich ulioko kule ndo mkoa wa Kagera ulivo kijan kibich kimetanda kila semu uku asilimia kubwa ikiwa pamepandwa miti ya mipein asikwambie mtu binafs hakuna mkoa sjafka Tanzania hla asikwambie mtu bukoba pazur sana sema kila mtu kuna achovutiwa ,ukiongelea miji km miji binafs ntakwambia Tanga ndomji mzur kuliko yote kulingana na jins ulivopangika .
 
Back
Top Bottom