Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

Wale jamaa kitu Cha uhakika kwao ni maji na umeme tu. Umeme wao unatokana na chanzo Cha maporomoko ya Owen Uganda,ni ngumu sana kusikia umeme umekatika bukoba. Wanakiwanda chao Cha maji ya bunena kile nacho wanaweza kujivunia maana mmiliki ni mzawa wa hapo BK mjini.
 
Wajenge nyumba zao kwanza ili tuone sababu ya kuwajengea soko na stendi
kama hua unapita barabara ya singida arusha...

kuna mji mdogo pale mkoa wa manyara(nimepasahau jina), wana stend nzuri sana na hakuna majengo mazuri ya wananchi...

kwahiyo hoja yako naipinga...

nionavyo, kuna namna bukoba inahujumiwa makisudi...
 
Nashindwa kuelewa ni kwanini wahaya na misifa yoote hii mijini lakini Bukoba pako very very backward.
In fact hata kamji ka wilaya kama Kahama kako better off by far kuliko Bukoba.
Wahaya mnakwama wapi?
Husda huenda imetamalaki huko !
a.k.a ULOZI 😳🤷🏿‍♂️ !
 
kama hua unapita barabara ya singida arusha...

kuna mji mdogo pale mkoa wa manyara(nimepasahau jina), wana stend nzuri sana na hakuna majengo mazuri ya wananchi...

kwahiyo hoja yako naipinga...

nionavyo, kuna namna bukoba inahujumiwa makisudi...
Unaipinga hoja yangu kwa kutumia takwimu ambayo umeisahau??
Nakunukuu

"kuna mji mdogo pale mkoa wa manyara(nimepasahau jina), wana stend nzuri sana na hakuna majengo mazuri ya wananchi."

Wewe ni mtu wa ajabu
 
z4.jpg
 
Unaipinga hoja yangu kwa kutumia takwimu ambayo umeisahau??
Nakunukuu

"kuna mji mdogo pale mkoa wa manyara(nimepasahau jina), wana stend nzuri sana na hakuna majengo mazuri ya wananchi."

Wewe ni mtu wa ajabu
mimi kusahau jambo haithibitishi kwamba halipo...
 
Japo ni kweli hali ya BK inatisha na kusikitisha, ila Nyie ndugu zetu Wahaya mmebarikiwa sana!,kwanza kwa Tanzania,Wahaya ndio wenye the highest IQ wakifuatiwa na Chagga na Nyakyusa,ndio mnaongoza kwa usomi na wasomi wenye Ph.D!! Ndio mnaongoza kwa diaspora wenye decent jobs!kiingereza kingi, nshomile ing'ambo miaka ishatu!, mugambire inafu!.

Enzi hizo nikitua NY, naongoza Mt. Venon na kufikia pale kwa Mama T, (sijui bado yuko hai?atakuwa 100+!)

Wawawake wenu ndio mabingwa wanaoongoza kwa upishi wa kile chakula, wanapika balaa!na chakula chao ni kitamu balaa!Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? na wafanya biashara wa kwanza wa ile biashara,toka enzi za Maggots, hadi kule kwa wavura viratu na mugambire inafu!, proceed za hii
biashara very lucrative, Wahaya
wanaoeleka wapi? au
zinafanyia nini?!

Ndio mmemtoa MD wa kwanza Tanganyika, Dr Vedastus Kyaruzi, na Prof wa kwanza, Prof Rweyemamu (baba Kemi)

Ndio mnaongoza kwa mijengo Masaki, nini kinawazuia msiendeleze kwenu?!

JPM kawajengea uwanja Chato hamuutumii!, Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika! mpewe nini?!.

P
Hawana intelligence yoyote,

Kinachowabeba ni kutokula ugali kama ninyi wasukuma.

Ugali hauleti faida kwenye ubongo, ndizi, ngano ndo vyakula sahihi.

Kanda ya Ziwa bila samaki kusaidia ubongo, wangekuwa wajinga wa mwisho.

Kataeni ugali.
 
Mkuu P hapa kwenye mlo umeniacha kidogo, ni mlo gani unamaanisha?
Si ni mambo yetu yale ya misosi, sisi Wasukuma tunapenda sana yale mambo ya kula kula misosi , Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
Vyakula vya Bukoba, ni vitamu sana!, ukibahatika kumpata mpishi bingwa, unaweza kujikuta unachanganyikiwa unaweza hata kutelekeza familia ukajikuta huna tena hamu na chakula cha nyumbani!, ukukitana na binti ametiwa kitu inaitwa shumtamaa!, ni kitu ya hatari kabisa! very dangerous!,limbwata itasubiri!,mtu unahama nyumbani!unaacha ghorofa unahamia kibanda umiza!,na ikitokea wewe ukawa ni mgonjwa wa haya makitu https://www.jamiiforums.com/threads...-why-only-some-and-why-so-much-fluid.265376/, tunakusahau kama nzi!,mpaka utafia kwenye kidonda!
P
 
Atakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!

Kwanza hawana stend!
Hawana soko!
Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!
Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango


Britanicca
 

Attachments

  • 20250512_172008.jpg
    20250512_172008.jpg
    45.1 KB · Views: 16
Japo ni kweli hali ya BK inatisha na kusikitisha, ila Nyie ndugu zetu Wahaya mmebarikiwa sana!,kwanza kwa Tanzania,Wahaya ndio wenye the highest IQ wakifuatiwa na Chagga na Nyakyusa,ndio mnaongoza kwa usomi na wasomi wenye Ph.D!! Ndio mnaongoza kwa diaspora wenye decent jobs!kiingereza kingi, nshomile ing'ambo miaka ishatu!, mugambire inafu!.

Enzi hizo nikitua NY, naongoza Mt. Venon na kufikia pale kwa Mama T, (sijui bado yuko hai?atakuwa 100+!)

Wawawake wenu ndio mabingwa wanaoongoza kwa upishi wa kile chakula, wanapika balaa!na chakula chao ni kitamu balaa!Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? na wafanya biashara wa kwanza wa ile biashara,toka enzi za Maggots, hadi kule kwa wavura viratu na mugambire inafu!, proceed za hii
biashara very lucrative, Wahaya
wanaoeleka wapi? au
zinafanyia nini?!

Ndio mmemtoa MD wa kwanza Tanganyika, Dr Vedastus Kyaruzi, na Prof wa kwanza, Prof Rweyemamu (baba Kemi)

Ndio mnaongoza kwa mijengo Masaki, nini kinawazuia msiendeleze kwenu?!

JPM kawajengea uwanja Chato hamuutumii!, Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika! mpewe nini?!.

P
Muhaya alipokuwa kwenye mataa ya KAMATA na Muhaya mwenzake walimuona askari traffic MUHAYA, anaongoza magari manually kwa sababu ya foleni.Mambo yakawa kama yafuatavyo 🤣🤣🤣

"Iwe mwana ashomile, ashomile mpaka form six, ashomile mpaka university but no course 😅😅😅 agamba genda agamba stop "🤣🤣🤣🤣

"Unihambire stupid Infront my wife, I'm going to revenge 😂😂
 
Back
Top Bottom