Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Kama ni kweli kamfukuza Maalim,Basi Lipumba kaitelekeza rasmi Pemba.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mnalifuga Fisadi ndani na hamjawahi kuhoji lili ingiaje unakuja kuuliza ya lipumba?Tanzania ina vituko. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Halafu halishatakiwi mpaka sasa hivi
 
Huyu jamaa uenyekiti na kugombea Urais ni wake hadi kufa maana anasema kugombea Urais si kama kugombea U-miss.

From 1995- To date Lipumbaaa!
Kuna mwingine anang'ang'ania uenyekiti chadema pale nae tumpindue Kama tulivyompindua professor
 
Hao ni wanaCCM wenzenu, unadhani hatujui hili chezo?
Kutoka maktaba....ulipo tupo!
upload_2016-9-27_14-26-0.png
 
Hivi haya si mambo ya kitoto unadhani wanachama Wa cuf wakitaka kukutoa hapo kwa kutumia nguvu ya umma hao mabaunsa wako wataweza kukutetea au waseme wana cuf wake kukutoa msaliti ofisini utapona au waamue kukusanya watu kama wewe ukawa inavyokubalika huo umati utauweza wewe kweli huyu profesa kashafika mwisho Wa mawazo ndio tabu mwili kutumia akili za wengine
 
Back
Top Bottom