Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

Buguruni: Profesa Lipumba anaongea na Wanachama wa CUF muda huu

hili jamaa alafu miaka yote ni yeye mwenyekiti hamna mtu mwingine kweli cuf mwenye uwezo? Hakuna mawazo mapya mambo yatakua yale yale, ndio maana watu wengi hawapigii kura upinzani kwenye uchaguzi sababu ya upinzani wenyewe kukosa demokrasia ya kubadilisha badilisha viongozi wao. Wajifunze kubadilika
 
Ingekuwa ni Chadema huyo Prof. angekoma, ana bahati sana hayupo Chadema yaan tungemtoa ofcn hata kwa Shoka
Kaka haya maneno yako tu ila ata ingekuwa inside,u can't do anything right coz hawa jamaa wanajuana labda tusubir wafe apo tutaanza upyaa
 
Mnalifuga Fisadi ndani na hamjawahi kuhoji lili ingiaje unakuja kuuliza ya lipumba?Tanzania ina vituko. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom