fingering!!! Nayo hujui mtoto!!! Aise kumbe huku JF mnaruhusu minors au!!! Ha ha ha!!
Kama kweli vile! Eti akina baba nanihii mnafanyaje my wife zenu wakigoma? Halafu nasikia wenyemagari ndo mnaongoza kwa kufanya kama mmekosea njia, nawengine kama mnawahi foleni alfajiri au kusingizia foleni kumbe mama nanihii kakunyima unapitia viwanja kupoza
Wakazi wengi wa Dar es Salaam wanajua kuwa eneo lenye vituko vjngi ni Uwanja wa Fisi pale Manzese. Hata hivyo, Buguruni ya leo ni zaidi ya maeneo yote unayojua.
Katika eneo hili kuna madanguro mengi sana. Nyuchi zinauzwa mchana kweupee. Baa kama Sewa na Kimboka ni maficho ya wauza miili.
Visichana vidogo vinajiuza hadharani.
Halafu vimepanga na bei. Kunawa shilingi 500 tu, kula shilingi elfu moja hafi tatu. Sewa inatazama kituo cha polisi lakini ndipo mabinti wanafanya bkashara ya ngono kweupee.
Wana JF tujiulize, nani wa kutuokoa?
fingering (na hii ndiyo namba one kwa maambukizi ya ukimwi kutokana na layer ya ndani ya kucha kuwa delicate mno na wanaume wengi hawalijui hili)Kunawa ndio nini?
Hata makazini/maofisini wadada zetu wanajiuza pia. Ila wanatofautiana na hao wa buguruni kwa style tu.Nashangaa sana mtu anaposema eti ni buguruni tu..... Ni kwamba siku hizi kila kona wanawake wanajiuza, we jiulize huku mtaani unamtongoza demu then anategemea umpe chochote sasa huyu anauza ama?
Dada zetu hawapendi jamani ni ugumu wa maisha tu.Kila mtu anapenda maisha mazuri.
Kama huwezi kuwashinda basi ungana nao. Biashara yao haiwezi kutokomezwa tena so bora tuiharalishe ili tupate kodi. Tena wafunge mashine za efd kabisa.
wanaume tuamuke tuache kununua hii bidhaa ,biashara ikikosa wateja wataacha na kutafuta biashara nyingine inayolipa
Nimefurahishwa na kukua kwa lugha yetu ya kiswahili. Ni kweli wingi wa nyuchi ni vyuchi na umoja je, tuite uchi au kauchi?Vyuchi ndio uwingi wa Uch..! Kweli lugha inakuwa. Hii hali inatia hasira sana, lakini wengi wao wanasukumwa na ugumu wa maisha.
Watu hawanunui bila kuwa na wauzaji na kama ndio hivyo cocaine iwekwe madukani na tupige marufuku kuinunuasiku wanaume watakapoacha kununua ndipo hao dada powa wataacha kuuza.
Acha uchokonozi mkuu,hapo ndo tunapopunguzia stress zetu au unataka tuanze kutongoza wake za watu???mkuu hiyo kweli kabisa, buguruni ni zaidi ya uwanja wa fisi, sewa, kimboka halafu kuna uchochoro mmoja unatokea y2k kutokezea barabarani kwa wauza mbao, hapo kuanzia saa moja usiku, zinauzwa kama vitumbua, kina dada huwa wamepangana mstari mrefu wakisubiri wateja na bahati nzuri kuna guest bubu hapo hapo, kigongo guest house pia kuna kina dada poa wamepanga humo ndani yaani ni fujo kwenda mbele, madau yao chapu chapu inaanzia 3000/- huduma ya ziada ni maongezi, tunaomba idara husika watuokoe na hii hali jamani
Embu tuelekeze vizuri ili tuanze kufanyia utafitimkuu hiyo kweli kabisa, buguruni ni zaidi ya uwanja wa fisi, sewa, kimboka halafu kuna uchochoro mmoja unatokea y2k kutokezea barabarani kwa wauza mbao, hapo kuanzia saa moja usiku, zinauzwa kama vitumbua, kina dada huwa wamepangana mstari mrefu wakisubiri wateja na bahati nzuri kuna guest bubu hapo hapo, kigongo guest house pia kuna kina dada poa wamepanga humo ndani yaani ni fujo kwenda mbele, madau yao chapu chapu inaanzia 3000/- huduma ya ziada ni maongezi, tunaomba idara husika watuokoe na hii hali jamani