mese masembo
Member
- Nov 17, 2013
- 37
- 10
wasajiliwe na walipe kodi.hii biashara imeenea dunia nzima. hakuna serikali iliyowahi kushinda vita hii.chanzo ugumu wa maisha na kutomhof Mungu
wasajiliwe na walipe kodi.hii biashara imeenea dunia nzima. hakuna serikali iliyowahi kushinda vita hii.chanzo ugumu wa maisha na kutomhof Mungu
Wakazi wengi wa Dar es Salaam wanajua kuwa eneo lenye vituko vjngi ni Uwanja wa Fisi pale Manzese. Hata hivyo, Buguruni ya leo ni zaidi ya maeneo yote unayojua.
Katika eneo hili kuna madanguro mengi sana. Nyuchi zinauzwa mchana kweupee. Baa kama Sewa na Kimboka ni maficho ya wauza miili.
Visichana vidogo vinajiuza hadharani.
Halafu vimepanga na bei. Kunawa shilingi 500 tu, kula shilingi elfu moja hafi tatu. Sewa inatazama kituo cha polisi lakini ndipo mabinti wanafanya bkashara ya ngono kweupee.
Wana JF tujiulize, nani wa kutuokoa?
fingering!!! Nayo hujui mtoto!!! Aise kumbe huku JF mnaruhusu minors au!!! Ha ha ha!!
wadau wale wasokoni kule almaarufu kwa wahaya bado wapo buku mbili tu unaosha rungu?
wengi wa wateja wao ni watu na wake zao. jiulize kwa nini wanakwenda Bugurunu. utafiti unaonyesha kwamba wanawake walioolewa hawawapi waume zao kitu na box. wanabania bania eti wamechoka mara wako bize wakati dume linahitaji labda miezi miwili mama hajatoa mgao. Unategemea nini
hakuna jambo linalonihuzunisha maishani mwangu kama hilo.huwa nikipita hapa Sinza Mori jioni kuelekea kwangu,inabidi nipite upande wa pili wa barabara ili nisikutane nao maana sometimes wanakuwa wamechacha haswa hawana hata ya kula,wakikukaba?Ila kinachoniuma zaidi ni viongozi serikalini, hususani vitengo katika wizara husika,Je!wamefika ukomo wa kimawazo kuhusu suluhu ya jambo hili? wengi wao huanzia huku kwenye uchokoraa(sorry kwani hilo jina pia sio zuri) na viongozi wanawaona tangu wakiwa watoto wa mitaani, hadi kufikia hatua ya kuamua kujiuza kwani huku kwenye maisha yao hayo wamezoea kubakwa na kufanyiwa kila aina ya unyama!This is so bitter kwa kweli!Ifike mahali sasa hata katika Chaguzi zijazo, haya mambo yawe Addressed ipasavyo!Kiongozi asiyekubali haya matatizo kuwa katika ilani yake ya uchaguzi, basi tusimpe kura kabisa!Pia asasi za kiraia ziko wapi?mashirika ya kutetea haki za watoto na wanawake yako wapi?Au ndo yamekuwa chanzo cha mapato kwa wajanja?
INAUMA KWA KWELI!!!!!!!!!!TUSEME HAPANA, IMETOSHA!!!!!!!!!!!!!!
Napafahamu hapo ni karibu na makao Mkuu ya CUFWakazi wengi wa Dar es Salaam wanajua kuwa eneo lenye vituko vjngi ni Uwanja wa Fisi pale Manzese. Hata hivyo, Buguruni ya leo ni zaidi ya maeneo yote unayojua.
Katika eneo hili kuna madanguro mengi sana. Nyuchi zinauzwa mchana kweupee. Baa kama Sewa na Kimboka ni maficho ya wauza miili.
Visichana vidogo vinajiuza hadharani.
Halafu vimepanga na bei. Kunawa shilingi 500 tu, kula shilingi elfu moja hafi tatu. Sewa inatazama kituo cha polisi lakini ndipo mabinti wanafanya bkashara ya ngono kweupee.
Wana JF tujiulize, nani wa kutuokoa?
Napafahamu hapo ni karibu na makao Mkuu ya CUF
Viongozi wengi wa CUF wanashinda hapo!!!!!!!!!!
one day nilikuwa hardware ya yemen enterprises buguruni shell,nikakutana na kabinti kama 14 years albino nae anajiuza!tena kipindi hicho albino walikuwa wanatafutwa sana viungo vyao!
nilimwita binti nimuambie madhara hiyo biashara kwako niliambulia mitusi ya ndani ya nguo!