Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

one day nilikuwa hardware ya yemen enterprises buguruni shell,nikakutana na kabinti kama 14 years albino nae anajiuza!tena kipindi hicho albino walikuwa wanatafutwa sana viungo vyao!
nilimwita binti nimuambie madhara hiyo biashara kwako niliambulia mitusi ya ndani ya nguo!
 
Kama hamjui kwa kuleta huu uzi hapa, umewasaidia hao dada poa kuwatangazia biashara, na hivyo sales return zao zitapanda kupita kiasi mweiz huu. Kama unabisha, nenda baada ya wiki uwaulize watakwambia.

Tiba

true%100
 
kwanza tukubaliane hizi ni tabia za majiji makubwa duniani.... hata upambane nazo vp suala linabaki pale pale.... je ume-address the root cause?
umaskini uliokithiri ndo unachangia kwa kiasi kikubwa japo sio sababu pekee.... hawa sada poa dar wamezagaa kila kona... ni unfortunate tu watu wanataja sana buguruni na uwanja wa fisi....
pengine wana sababu zao.... ila City centre mitaa ya Ohio,anzia salender bridge hadi mitaa ya Las Vegas.... nenda Sinza, Msasani....nenda Swiss pub Tabata, nenda Italian huko huko Tbt......

Kuna nchi hii biashara watu wanapewa lesseni na wanapimwa HIV....nenda Bankoc Thailand ukajioneee.....
Kwa maadili yetu naona hivyo vitu haviwezekani.... basi ni muda muafaka wa kupambana na umaskini kwa kiasi kikubwa .... vinginevyo tutakuwa tunataja tu...... kumbe ndipo hata wakina KP wanapopumulia
 
Huko akipita waziri mkuu mtarajiwa sijui inakuwaje!Wapo wazazi/viongozi wenye akili kama yake ndio wanashinda huko na niwateja wakubwa.
 
Kama huwezi kuwashinda basi ungana nao. Biashara yao haiwezi kutokomezwa tena so bora tuiharalishe ili tupate kodi. Tena wafunge mashine za efd kabisa.
 
Hile ni biashara kama biashara zingine cha msingi wakatiwe leseni na TRA wakusanye kodi tu!!
 
Tujiokoe wenyewe kwa kuacha kununua uchi na pia kuwakamata wote wanaojishughulisha na biashara hii.


Kuna siku moja nilikuta makala katiak Gazeti kuhusu hiyo biashara ya Buguruni.

Mwandishi aliwahoji wauzaji na wakasema ya kuwa kero wanayoipata ni kutoka kwa askari Polisi, wanawakamata na kuwanyanganya Pesa zao walizopata kutoka na kazi ya siku.

Pia wengine wanataka rushwa ya Ngono toka kwa hao madada poa.


Je, nani wa kuwakamata????


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Huko akipita waziri mkuu mtarajiwa sijui inakuwaje!Wapo wazazi/viongozi wenye akili kama yake ndio wanashinda huko na niwateja wakubwa.

umeona eeh? hata mimi namshangaa sana waziri mkuu tarajali anavyobaka wanafunzi under 14 badala aende anunue nyuchi huko buguruni!
 
Back
Top Bottom