mkuu hiyo kweli kabisa, buguruni ni zaidi ya uwanja wa fisi, sewa, kimboka halafu kuna uchochoro mmoja unatokea y2k kutokezea barabarani kwa wauza mbao, hapo kuanzia saa moja usiku, zinauzwa kama vitumbua, kina dada huwa wamepangana mstari mrefu wakisubiri wateja na bahati nzuri kuna guest bubu hapo hapo, kigongo guest house pia kuna kina dada poa wamepanga humo ndani yaani ni fujo kwenda mbele, madau yao chapu chapu inaanzia 3000/- huduma ya ziada ni maongezi, tunaomba idara husika watuokoe na hii hali jamani