Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

Hili siyo tatizo bali ni biashara/burudani inayotolewa kwa kutumia mwili kwa kulipia. Ni sawa na akina Bondia Cheka wanaotumia miili yao kujipatia pesa, mchezo ambao ni hatari sana kwa maisha kuliko kufanya ngono? Mbona tunalipa viingilio kwenda kutizama mpira ambapo watu wanatumia viungo vyao kujipatia pesa? Tofauti iko Wapi?
Hahahaaa we jamaaa umeongea point sana hahahahaaa
 
Hili siyo tatizo bali ni biashara/burudani inayotolewa kwa kutumia mwili kwa kulipia. Ni sawa na akina Bondia Cheka wanaotumia miili yao kujipatia pesa, mchezo ambao ni hatari sana kwa maisha kuliko kufanya ngono? Mbona tunalipa viingilio kwenda kutizama mpira ambapo watu wanatumia viungo vyao kujipatia pesa? Tofauti iko Wapi?
ko mabondia,kina messi,ronaldo wote hao wanajiuza kama uyo mwarabu anaetajwa na wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hiyo kweli kabisa, buguruni ni zaidi ya uwanja wa fisi, sewa, kimboka halafu kuna uchochoro mmoja unatokea y2k kutokezea barabarani kwa wauza mbao, hapo kuanzia saa moja usiku, zinauzwa kama vitumbua, kina dada huwa wamepangana mstari mrefu wakisubiri wateja na bahati nzuri kuna guest bubu hapo hapo, kigongo guest house pia kuna kina dada poa wamepanga humo ndani yaani ni fujo kwenda mbele, madau yao chapu chapu inaanzia 3000/- huduma ya ziada ni maongezi, tunaomba idara husika watuokoe na hii hali jamani
Nimepita kichochoroni hapo muda huu, wamenipapatikia sana. Kila jioni lazima nipite hapo kungalia uumbaji wa Mungu.
 
Back
Top Bottom