Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,961
- 4,661
Mtoa mada picha vipi kuna watanganyika weupe sana kama wahindi labda hukuona vizuri tupia kapicha tufanye conclusion wote mkuu
Mbona Katika ukoo wenu hakuna hata mmoja aliyejitokeza KUOA ama KUOLEWA na Mchaga ama Muhaya....!!?Hao ni wabaguzi sana, jiulize tu tunaishi nao na wanajiita watanzania lakini hawaoani na sisi, hawaishi maeneo yetu wanajitenga kabisa mie kwenye hili la wahindi huwa namuunga mkono marehem Mtikila
Mtu mweusi ni kama cobra,si wa kufanya naye mazoea maana ndiye kiumbe anayeongoza kwa ubaguzi duniani!Leo hii si ajabu kuona mbunge mweusi Sweden lakini kuona mbunge mzungu hapa kwetu ni vigumu sana.Maneno atakayokutana nayo ya ubaguzi ni mazito mno!Kwenye BSS tu mlimnyima ubingwa mzungu kichaa japo watu walimpigia kura,halafu wewe unasema nini?Hao ni wabaguzi sana, jiulize tu tunaishi nao na wanajiita watanzania lakini hawaoani na sisi, hawaishi maeneo yetu wanajitenga kabisa mie kwenye hili la wahindi huwa namuunga mkono marehem Mtikila
I thought you where.....?kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.
Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.
Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)
This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Mimi mweusi sina rafiki muhindi hata mmoja.
Kwani biashara zako unafanyia India?Mimi mweusi sina rafiki muhindi hata mmoja.
hivi unaweza kufungua company india na usiweke muhindi kwenye top management?? hata accountant ??? h ha haIle ni family company na uongozi wa hizo company ni kifamilia hiyo ndio style ya Indians hivyo usitegemee kukuta ngozi nyeusi pale.
Na bidhaa nazo wanauziana wenye we kwa wenye we au?Soko linakutambuaHakuna watu wabaguzi kama Mabohora( dewji nae) Hawa wanawabagua hata wahindi wenzao na kwao ni najisi kuoa au kuolewa na mtu nje ya bohora