Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,893
- 1,623
Wahindi,waarabu na wachina ni wabaguzi sana. Nashangaa sana NHC mpaka magufuli kasema nyumba zisiwe na wapangaji wa rangi fulani tuu.
Kwake MO kama mfanyabiashara itamletea shida sana hana diversity ndio maana kuna nchi huwezi kukuta wahindi wengi kama westafrica
Kwangu mimi ni mwiko haswaa kuajiri mbongo kwenye kiwanda changu. Nitafirisika once
Wabongo most of them wanawazaga wizi tu. Kwenye kazi zero
