Broiler sio kuku wa kula kabisa!!

Broiler sio kuku wa kula kabisa!!

Kwa sisi tuliokulia nyumba zinazofuga nguruwe supu tumekunywa ni tamu hasa supu ya kongoro
Mimi nilikuwa nimezoea kitimoto cha kukaanga, rosti na choma baadaye nikaja kukutana na cha kuchemsha na kilikuwa poa tu, sema cha kuchemsha kama supu au kupikia kwenye ndizi/viazi mchemsho kinakuwa vizuri kama hakina mafuta mengi.
 
Hawa kuku sio wa kuwala kabisa, leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu

Bila kuwekwawekwa viungo kwa wale wapika chipsi hawa sio kuku kabisa

Kuku wasio na baba wala mama!!

Hawa kuku marufuku nyumbani kwangu!!
Mkuu umekasirika sana mpaka tunashindwa kukuelewa, humalizi sentensi kabisaaaa
 
Vijana wa mjini ndio hauwaambii kitu. Hao kuku mimi wamenishinda kwa kweli yaani mtu kama unakula sponchi. Nipo kijijini kwa mama angu wiki sasa huku ni hauwezi kukuta broiler, ni mwendo wa kuku wa kienyeji yaani awe wa kukaanga, kuchoma au supu mtu unakula nyama unapata ile radha halisi ya kuku. Kwenye sekta ya chakula kwa kweli mjini tunazulumiwa sana, vyakula halisi vipo huku kijijini.
Sasa kijijini broiler watatoka wapi?! Hata vijiji ambavyo chips mayai zinapikwa upate na mayonnaise, ukwaju, chachandu na tomato sauce si vinahesabika.
Halafu sio kwamba vijana wa mjini huwaambi kitu kuhusu broiler, ni kwamba broiler ni bei rahisi, walaini wakikaangwa au kuchomwa na ndio wanaopatikana.
 
Hawa kuku sio wa kuwala kabisa, leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu

Bila kuwekwawekwa viungo kwa wale wapika chipsi hawa sio kuku kabisa

Kuku wasio na baba wala mama!!

Hawa kuku marufuku nyumbani kwangu!!
Hawana baba wala mama? Nanwewe jamaa yangu li roho tu! Hao nani alikwambia wanaliwa supu? Kukiwa wiki 4 -6 anafaaje kwa supu?
 
Hawa kuku sio wa kuwala kabisa, leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu

Bila kuwekwawekwa viungo kwa wale wapika chipsi hawa sio kuku kabisa

Kuku wasio na baba wala mama!!

Hawa kuku marufuku nyumbani kwangu!!
Bodaboda huita "Boila"
 
Hawa kuku sio wa kuwala kabisa, leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu

Bila kuwekwawekwa viungo kwa wale wapika chipsi hawa sio kuku kabisa

Kuku wasio na baba wala mama!!

Hawa kuku marufuku nyumbani kwangu!!
Boss broiler ni kuku tu kama kuku wengine,ana baba na mama.
Kuku wa kienyeji akitaga yai ukatotolesha kwenye mashine wakaenda fugwa kwingine naye utasema hana baba wala mama?

Broiler ukimfuga kwa kumuacha ajitafutie chakula kama kuku wa kienyeji atakua taratibu tu na nyama itakomaa,atafikisha miezi 6 akipandwa anataga kama kuku wa kienyeji.
 
Sasa kijijini broiler watatoka wapi?! Hata vijiji ambavyo chips mayai zinapikwa upate na mayonnaise, ukwaju, chachandu na tomato sauce si vinahesabika.
Halafu sio kwamba vijana wa mjini huwaambi kitu kuhusu broiler, ni kwamba broiler ni bei rahisi, walaini wakikaangwa au kuchomwa na ndio wanaopatikana.
Vijana wa mjini wanajiendekeza tu kula vyakula vya hovyo kwa afya, suala la gharama halina mashiko kivile. Bei ya kuku wa kienyeji ni ndogo na uoatikanaji wake ni rahisi zaidi ya piza lakini kijana yupo tayari anunue pizza.

Nakumbuka wakati nipo chuo nikifika kwenye mgahawa chakula changu kilikua ugali dona, dagaa mixer nyanya chungu bamia na mboga za majani. Wakati wengi vyakula vyao vilikua chipsi mayai na soda wakati bei zinalingana tu
 
Vijana wa mjini wanajiendekeza tu kula vyakula vya hovyo kwa afya, suala la gharama halina mashiko kivile. Bei ya kuku wa kienyeji ni ndogo na uoatikanaji wake ni rahisi zaidi ya piza lakini kijana yupo tayari anunue pizza.

Nakumbuka wakati nipo chuo nikifika kwenye mgahawa chakula changu kilikua ugali dona, dagaa mixer nyanya chungu bamia na mboga za majani. Wakati wengi vyakula vyao vilikua chipsi mayai na soda wakati bei zinalingana tu
Unapoanza kulinganisha kuku na pizza ndio unapotea njia,
 
Hujawai Kula kifaranga cha kuchemsha .kinachemshwa na manyoya unapata juice
 
Nimefanya rejea ya mfano wa gharama ambao wewe umesema kwamba ni moja ya sababu vijana kukimbilia kula broiler.
Hivi kuna mwanafunzi wa chuo anayetegemea boom la serikali anayeza kuishi kwa kula kuku wa kienyeji au pizza??
 
we hebu sema unatania basi,,,yaani supu ya kitimoto inanyweka vizuri kabisa,nipo naitafakari hio radha....
Yah ina viungo maalumu na majan fulani yakiwekwa kwenye hiyo supu huto acha nimeona kwa wachina hii.
 
Hawa kuku sio wa kuwala kabisa, leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu

Bila kuwekwawekwa viungo kwa wale wapika chipsi hawa sio kuku kabisa

Kuku wasio na baba wala mama!!

Hawa kuku marufuku nyumbani kwangu!!
Kataa broiler kataa watoto wasio na baba( mayai).....Afrika tunajiletea janga kula mayai ya kisasa
 
Hivi kuna mwanafunzi wa chuo anayetegemea boom la serikali anayeza kuishi kwa kula kuku wa kienyeji au pizza??
Hata akiwa na uwezo hawezi kula kila siku maana kuna kukinai. Tunaongelea hizo hizo mara moja moja
 
Hawa kuku sio wa kuwala kabisa, leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu

Bila kuwekwawekwa viungo kwa wale wapika chipsi hawa sio kuku kabisa

Kuku wasio na baba wala mama!!

Hawa kuku marufuku nyumbani kwangu!!
Amjui kuwapika....mnapika shombo
 
Back
Top Bottom