Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,509
- 104,773
Mimi nilikuwa nimezoea kitimoto cha kukaanga, rosti na choma baadaye nikaja kukutana na cha kuchemsha na kilikuwa poa tu, sema cha kuchemsha kama supu au kupikia kwenye ndizi/viazi mchemsho kinakuwa vizuri kama hakina mafuta mengi.Kwa sisi tuliokulia nyumba zinazofuga nguruwe supu tumekunywa ni tamu hasa supu ya kongoro