Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,606
- 91,429
Mnataka kuku wa kukaa nusu mwaka ndio afae kula ?Kuku wiki nne keshanenepa.
Mnataka kuku wa kukaa nusu mwaka ndio afae kula ?Kuku wiki nne keshanenepa.
Ndio, watu wengi sana wanakula supu ya mdudu vizuri tu.Supu ya mdudu 🙄🙄
we hebu sema unatania basi,,,yaani supu ya kitimoto inanyweka vizuri kabisa,nipo naitafakari hio radha....Ndio, watu wengi sana wanakula supu ya mdudu vizuri tu.
Ndiyo.Ulishawahi kuwafuga?
Ni mazoea tu, kuna watu hawawezi kula kitimoto cha kuchemsha au supu yake ila kitimoto ya kukaanga au choma wanafakamia, kuna wengine wanakula kitimoto ya kuchemsha na supu yake vizuri tu.
Nimewahi kunywa supu ya kitimoto hotelini hapa bongo.we hebu sema unatania basi,,,yaani supu ya kitimoto inanyweka vizuri kabisa,nipo naitafakari hio radha....
we hebu sema unatania basi,,,yaani supu ya kitimoto inanyweka vizuri kabisa,nipo naitafakari hio radha....
Duh,leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu
Mmmmmh wacha niamini ivo ivoNimewahi kunywa supu ya kitimoto hotelini hapa bongo.
wacha nitafute nijaribuKongoro lake sio mchezoo.... Lina Bei kuliko kongoro la Mooo...na Meee
Shida ya broiler anawiva mara moja. Yaani ukimuweka tu kwenye moto kdg keshanyambuka nyambuka. Sasa useme uweke na maji kwa ajili upate supu utakula uji wa kuku mana minofu yote inavurugika. Supu ya kuku ni kwa kuku wa kienyeji tena awe mpevu kiasi mana huwa anawiva taratibu huku anatoa supu yenye ladhaNi mazoea tu, kuna watu hawawezi kula kitimoto cha kuchemsha au supu yake ila kitimoto ya kukaanga au choma wanafakamia, kuna wengine wengi wanakula kitimoto ya kuchemsha na supu yake vizuri tu.
Broiler inasemekana akila wiki nane ananenepa saa yoyote anapata mshtuko wa moyo anakufa.Mnataka kuku wa kukaa nusu mwaka ndio afae kula ?
Ukimpika kwenye electric pressure cooker utatoa chakula kitamu sana kinaitwa chicken porridge ...Shida ya broiler anawiva mara moja. Yaani ukimuweka tu kwenye moto kdg keshanyambuka nyambuka. Sasa useme uweke na maji kwa ajili upate supu utakula uji wa kuku mana minofu yote inavurugika. Supu ya kuku ni kwa kuku wa kienyeji tena awe mpevu kiasi mana huwa anawiva taratibu huku anatoa supu yenye ladha
Nitajaribu hii🙏🙏Ukimuoka anakua mtamu kuliko aliyekaangwa!
Kwa sisi tuliokulia nyumba zinazofuga nguruwe supu tumekunywa ni tamu hasa supu ya kongoroNdio, watu wengi sana wanakula supu ya mdudu vizuri tu.
Bongo tu ndio huwa watu wengi wanapenda kitimoto kavu, sehemu kubwa ya dunia wanakula kitimoto mchuzi na kitimoto mchemsho.
Vijana wa mjini ndio hauwaambii kitu. Hao kuku mimi wamenishinda kwa kweli yaani mtu kama unakula sponchi. Nipo kijijini kwa mama angu wiki sasa huku ni hauwezi kukuta broiler, ni mwendo wa kuku wa kienyeji yaani awe wa kukaanga, kuchoma au supu mtu unakula nyama unapata ile radha halisi ya kuku. Kwenye sekta ya chakula kwa kweli mjini tunazulumiwa sana, vyakula halisi vipo huku kijijini.Hawa kuku sio wa kuwala kabisa, leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu
Bila kuwekwawekwa viungo kwa wale wapika chipsi hawa sio kuku kabisa
Kuku wasio na baba wala mama!!
Hawa kuku marufuku nyumbani kwangu!!