Man fila ndu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2023
- 836
- 697
Kaka usisingizie Bloila imawezekana mkeo ni kimeo hajui kupika.Hawa kuku sio wa kuwala kabisa, leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu
Bila kuwekwawekwa viungo kwa wale wapika chipsi hawa sio kuku kabisa
Kuku wasio na baba wala mama!!
Hawa kuku marufuku nyumbani kwangu!!