Broiler sio kuku wa kula kabisa!!

Broiler sio kuku wa kula kabisa!!

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,126
Reaction score
24,419
Hawa kuku sio wa kuwala kabisa, leo nilijaribu kunywa supu yake kama ilivyo supu ya kuku wa kienyeji nilijaribu supu ya Broiler duuh yaani ni kinyaa wakuu

Bila kuwekwawekwa viungo kwa wale wapika chipsi hawa sio kuku kabisa

Kuku wasio na baba wala mama!!

Hawa kuku marufuku nyumbani kwangu!!
 
Sasa unakujale kuku anaezaa bila kupigwa pipe...☹️
 

Attachments

  • giphy.gif
    giphy.gif
    2.7 MB · Views: 19
Sasa unakujale kuku anaezaa bila kupigwa pipe...☹️
Mnakosea sana wasomi kubwabwaja mambo bila udadavuzi.

Hao wanaotaga mayai ya kutotoleshea vifaranga, lazima "wagongwe' na jogoo ili yai liweze kutotolewa, vinginevyo haiwezekani.

Broiler wanachomkosea, hatokoswi supu ni kwa ajili ya kukaangwa tu, nyama yake ni teketeke mno.

Ukishamzoea hutataka kuku wengine.

Halafu watu wengi wanalishwa broiler kwa ajili ya brand ya jina 'kienyeji' lakini si wa kienyeji.

Kuku wengi Dar ni wa kisasa (chotara) huwezi jua kama siyo mfugaji, maana wanafanana sana sura na kuku wa kienyeji na wanaitwa wa kienyeji kwa ajili ya mahitaji ya soko.
 
Broiler kwa supu hapana. Broiler mapishi yake wa kuchoma au wa kukaanga tena awe marinated vizuri kwa muda ndio apikwe. Ila supu mmhhh
Ni mazoea tu, kuna watu hawawezi kula kitimoto cha kuchemsha au supu yake ila kitimoto ya kukaanga au choma wanafakamia, kuna wengine wengi wanakula kitimoto ya kuchemsha na supu yake vizuri tu.
 
Mnakosea sana wasomi kubwabwaja mambo bila udadavuzi.

Hao wanaotaga mayai ya kutotoleshea vifaranga, lazima "wagongwe' na jogoo ili yai liweze kutotolewa, vinginevyo haiwezekani.

Broiler wanachomkosea, hatokoswi supu ni kwa ajili ya kukaangwa tu, nyama yake ni teketeke mno.

Ukishamzoea hutataka kuku wengine.

Halafu watu wengi wanalishwa broiler kwa ajili ya brand ya jina 'kienyeji' lakini si wa kienyeji.

Kuku wengi Dar ni wa kisasa (chotara) huwezi jua kama siyo mfugaji, maana wanafanana sana sura na kuku wa kienyeji na wanaitwa wa kienyeji kwa ajili ya mahitaji ya soko.
Ulishawahi kuwafuga?
 
Mnakosea sana wasomi kubwabwaja mambo bila udadavuzi.

Hao wanaotaga mayai ya kutotoleshea vifaranga, lazima "wagongwe' na jogoo ili yai liweze kutotolewa, vinginevyo haiwezekani.

Broiler wanachomkosea, hatokoswi supu ni kwa ajili ya kukaangwa tu, nyama yake ni teketeke mno.

Ukishamzoea hutataka kuku wengine.

Halafu watu wengi wanalishwa broiler kwa ajili ya brand ya jina 'kienyeji' lakini si wa kienyeji.

Kuku wengi Dar ni wa kisasa (chotara) huwezi jua kama siyo mfugaji, maana wanafanana sana sura na kuku wa kienyeji na wanaitwa wa kienyeji kwa ajili ya mahitaji ya soko.
Hapana kwa sie wa vijijini twawajua kwa kuwatizama miguu
 
Back
Top Bottom