Britanicca tumuokoeni

Britanicca tumuokoeni

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,797
Reaction score
13,355
Naona tofauti na mwanzo. Kutwa anapost mara 3 na zote ni pumba kihoja.
Tofauti na enzi za mwanzo. Akitoa hoja ukumbi unawaka kwa hoja.
Tumuokoeni anaweza kuchanganyikiwa. Trump kamchanga.
Hivi sasa anacheza ngoma ya Trump. Hafanyi tena analysis. Kawa sawa na gazeti la uhuru kwa ccm . Sawa na yeye kwa trump
 
Wewe pia , mbona una post hovyo tu , mara unaaga unaondoka mara ndani ya siku mbili umerudi🤔
20260418_084404.jpg
 
Hivi kati yako wewe Malaria Sugu na Britanicca nani anaandikapumba humu? Wewe katibiwe kwanza hiyo Malaria sugu yako ndiyo urudi tena humu.
 
Naona tofauti na mwanzo. Kutwa anapost mara 3 na zote ni pumba kihoja.
Tofauti na enzi za mwanzo. Akitoa hoja ukumbi unawaka kwa hoja.
Tumuokoeni anaweza kuchanganyikiwa. Trump kamchanga.
Hivi sasa anacheza ngoma ya Trump. Hafanyi tena analysis. Kawa sawa na gazeti la uhuru kwa ccm . Sawa na yeye kwa trump
nonsense
 
Back
Top Bottom