Regime Change imetokea ndio maana IRGC wanafichama na wale viongozi wao wenye mdomo wamewahishwa kwa Mabikira 72 na mito ya pombe
Kina Abbas aragachi, Galibaf hao ni upande wa serikali ,sio kundi la kigaidi la IRGC
Hao Trump alimwambia ISRAEL wasiuawe maana ni moderate na wanafaa kwa mazungumzo
Akili yako imekudanganya Regime Change lazima itoke nje ya Iran 😂
Regime Change ni kule kuwa na viongozi watakaokubali matakwa ga USA
Kama tunavyoona Uranium itasafirishwa kwenda WASHINGTON
Iran isidhamini makundi ya kigaidi kama Hezbollah,houth
N.k