Nafuatilia hali ya Iran, sidhani kama Iranian regime inaweza ika survive kwa masaa 48 yajayo kutoka sasa.
Police wa Iran wamegoma kupokea orders za IRGC.
Reza Pahlavi, ambaye ni crown prince wa Iran anayeishi nchini Marekani, ametuma ujumbe kwa majeshi ya Iran kufanya chagua la kihistoria kwa kusimama upande wa watu wa Iran badala ya Islamic Republic regime.
Majeshi yameonekana kutii ujumbe huo wa video, utii huo umepelekea viongoza wa serikali na familia zao kuanza kutoroka nchini.
Sasa hivi wananchi wanaonekana kushikilia majimbo na kuyaongoza pasipo uwepo wa serikali.
Wanajeshi wa vikosi vya IRGC wanaonekana kuchoka, kuelemewa na kutokuwa sawa kisaikolojia. Wengi wanaonekana kukimbia hovyo wakiondoka maeneo yenye vurugu
------
Britanicca ndio wewe uliandika uzi huu? Tuombe radhi umetuabisha expert member kama sisi.
Mihemko tunatakiwa tuipunguze
Police wa Iran wamegoma kupokea orders za IRGC.
Reza Pahlavi, ambaye ni crown prince wa Iran anayeishi nchini Marekani, ametuma ujumbe kwa majeshi ya Iran kufanya chagua la kihistoria kwa kusimama upande wa watu wa Iran badala ya Islamic Republic regime.
Majeshi yameonekana kutii ujumbe huo wa video, utii huo umepelekea viongoza wa serikali na familia zao kuanza kutoroka nchini.
Sasa hivi wananchi wanaonekana kushikilia majimbo na kuyaongoza pasipo uwepo wa serikali.
Wanajeshi wa vikosi vya IRGC wanaonekana kuchoka, kuelemewa na kutokuwa sawa kisaikolojia. Wengi wanaonekana kukimbia hovyo wakiondoka maeneo yenye vurugu
------
Britanicca ndio wewe uliandika uzi huu? Tuombe radhi umetuabisha expert member kama sisi.
Mihemko tunatakiwa tuipunguze