Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

List ya vitabu hiyo hapo

1. Currency trading for Dummies

2. Astrofx (The art of technical Analysis)

3. Naked forex

4. My forex trading bible

5. Forex godfather

6. Japanese Candlestick charting techniques

7. Trading in the zones

8. How to Trade with price action

9. The ultimate price action trading guide

Ukishavimaliza vyote.....download metatrader 4 kwa pc yako....kisha download Metatrader 4 user guide kutoka google....jifunze jinsi ya kutumia Mt4 platform kwa kutumia user guide uliyodownload kutoka google.

Fungua demo account na demo kwa atleast week mbili....ukishamalizia ulizia Jangid plaza ni wapi...ukifika ulizia ofisi za TMT...ukifika pale fanya mbinu yoyote upate training ya week moja tu kuhusu forex trading.

UKISHAMALIZA HAYO YOTE RUDI HAPA UTUAMBIE KAMA FOREX NI KAMARI AU LA.

KILA LAKHERI BI SHOSTY
kumrahisishia asome
1.CURRENCY TRADE FOR DUMMIES BY BRIAN
AKIMALIZA ...
2.TECHNCAL ANALYSIS FOR FINANCIAL MARKET BY JOHN MURPHY(hiki kitamu kwa analysis utajiona wewe boss wa dunia)
then go to live account kabisa(coz unavyosoma upo ktk demo)...

WARUD LIABILITY JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wangu kwa vijana wadogo mnaotaka mafanikio makubwa.

Kimbia Tanzania haraka na mapema iwezekanavyo, hakuna la maana utakalopata ukijidai we ni mzalendo.

Nimesikitishwa sana kusikia TMT imevamiwa na polisi, hizo sio dalili nzuri nawaambia.

Siku sio nyingi mtasikia mnatakiwa kufunga TMT hadi siku walio na mamlaka wakiamua vinginevyo..

Hii nchi ya kis3ng3 sana, watu wanafurahi wakiona wenzao ni masikini.

Elon Musk ameondoka South Africa kwenda Marekani, leo mnaona anachofanya.

We endelea kubaki Tanzania uendelee kushika bomba la mwendokasi maisha yako yote.
 
Nawatakia mafanikio mema licha ya changamoto katika mchakato.

Hakuna kizuri kinachokuja kirahisi.

The hotter the battle, the sweeter the victory. When it is darkest, the break of dawn is nearest.

Leo najiandaa kupiga about $500 in fresh profits options trading, in about 2 hrs 45 minutes.

Haponi kwa mwendo wa kuwa risk averse.

Manage your money well, do your homework, get in and out at the right times.

Focus on the process,the money will come like you have some money magnet.
Bora mkuu wangu upo kwa trump huko....sisi huku tuna rais wa wanyonge hataki kuona watu wanajikwamua kutoka kwenye unyonge!! ndo wanaleta shida kama hizi daaah!
 
mkuu kuna jambo sielewi huku.mbona kuna watu wanaitetea forex sana asa if ni kitu flani hivi cha hela nje nje? mmmh I smell something chiken here.time will tell
Najua umezoea papuchi, MMU, mgegedo na mengine kama hayo...

Kwa kifupi forex ni biashara kama biashara nyingine. Na kila biashara ina risk zake!

Forex ni tofauti na kubeti/kamari. Kwenye forex, tofauti na betting, kuna kitu kinaitwa risk management! Unaweza poteza lakin kwa kiwango fulani. Mfano, una 1000Tsh, kwenye forex unaweza weka risk riward ratio, kwamba in case nita lose basi isizidi 100tsh LAKINI kwenye betting ukiingia na 1000tsh kama uki lose basi una lose yooote!!

Sawa bidada??

Alafu forex inafundishwa mpaka vyuoni, nenda pale udsm, aru, mzumbe...kote wanafundisha forex either kama kozi au kama topic ndani ya kozi!! je ni chuo gani wanafundisha kamari/betting hapa duniani??

Forex unatakiwa ujifunze/ uwe na ujuzi au usome vitabu kabla hujaanza ku-trade, je ku-beti au kamari inahitaji usome kitabu??

Kama kweli ulikua na nia ya kujua basi utakua umeelewa!!
 
Poleni wakuu kwa kusumbuliwa na polisi.

Vita dhidi ya umaskini Tanzania yahitaji uwe real fighter kama harakati za Dr. Martin Luther King Jr.
 
Ushauri wangu kwa vijana wadogo mnaotaka mafanikio makubwa.

Kimbia Tanzania haraka na mapema iwezekanavyo, hakuna la maana utakalopata ukijidai we ni mzalendo.

Nimesikitishwa sana kusikia TMT imevamiwa na polisi, hizo sio dalili nzuri nawaambia.

Siku sio nyingi mtasikia mnatakiwa kufunga TMT hadi siku walio na mamlaka wakiamua vinginevyo..

Hii nchi ya kis3ng3 sana, watu wanafurahi wakiona wenzao ni masikini.

Elon Musk ameondoka South Africa kwenda Marekani, leo mnaona anachofanya.

We endelea kubaki Tanzania uendelee kushika bomba la mwendokasi maisha yako yote.
Tanzania is to be build by Tanzanians, starting from inside. In Africa, the only thing top talents do is to run away from their home countries and then helping in strengthening white supremacy. What am trying to say is, leadership must not be the reason for someone to hate his beautiful country. Love you TZ!!
 
Dah kama forex ni kamari acha tu iwe ivyo... wewe jiulize kwanini na bank zinacheza hii kamari? kwanini beural change pale posta zinacheza the same kamari? nakushauri fanya utafiti wako binafsi ili upate majibu sahihi... sisi tumeshafanya maamuzi zamani..FORWARD EVER BACKWARD NEVER.
[HASHTAG]#TMT[/HASHTAG]
Unaponunua kitu chochote unacheza kamali kwamba kesho kile kitu hakitashuka bei.

Unaponunua nyumba unacheza kamali hiyo.

Unaponunua gari unacheza kamali hiyo.

Unaponunua nguo unacheza kamali hiyo.

Kama unafikiri shati litashuka bei kesho kwa 20%, na kwako hiyo ni kubwa kiasi cha kusubiri kesho, unasuburi.

Forex ni kubashiri tu badala ya kununua na kuuza bidhaa, unanunua na kuuza fedha.

Kwa hiyo mtu anayeogopa kamali, anatakiwa aogope kununua kitu chochote.

Hapa ninavyoandika, kama nilivyotabiri hapo juu, nimetoka kupiga faida mpya ya $500. Leo tu hiyo. Na hiyo wala si record high. Kuna siku nishapiga mpaka $5,000 siku moja.

Na hapo ni kwa sababu niliamua kuchukua position isiyo na risk sana.

Ningechagua position ya risk sana ningepiga hata faida ya $1,500.

Na kesho mambo yakienda vizuri nafunga wiki kwa faida mpya kati ya $1,000 na $2,000 kutegemea na market inavyoenda.

Ni kweli si kila siku utashinda. Lakini ukiusoma mchezo na kujua technical, fundamentals, money management etc, unaji position kiasi kwamba hata ukipoteza hela katika trade moja, una chance za ku recover na trade nyingine. Ndiyo maana nakwambia leo nimepata faida ya $500 wakati nilikuwa na nafasi ya kupata faida ya $1500.

Kwa sababu sikutaka kuwa mroho. Nimeangalia kitu kinaitwa "capital preservation". Nikachagua a conservative approach. Nikajua hii ina nafasi kubwa ya kushinda. Nikajua hata ikishindwa nina uwezo wa kurudisha hela nitakazopoteza.

Sasa ukivunjika moyo kabla hujaanza, huwezi kujua mbinu hizi.

Lakini ukigangamala kama askari vitani, utaona michezo mingine inatisha sana kamanhujaisomea kwa kituo tu, ukijulia mambo mbona unaweza kuzi time markets mpaka kujua muda gani ndiyo bei zinashuka nitanunua na muda gani bei zinapanda nitauza.
 
Duuh hili jambo kama nilianza kulihisi tokea mwezi May ulivyowekwa uzi wa kwanza!! Ila ni waambie tu, UNAPOLETA KITU KIPYA NDANI ya mfumo lazima kutokee reaction! Unapokua na kundi la kuku, ukiweka kuku wapya LAZIMA KWANZA WATAPIGANA then wakizoeana ndio watakaa kwa amani! Hii ni kawaida wakuu!!

Nimesikitika sana kuona yaliyotokea hapo jengoni TMT, ni dalili mbaya sana na inatoa picha mbaya kwa jamii hasa wawekezaji! Ila tutafanyaje ndio nchi yetu hii...je tuache forex kisa polisi, Nope!!

Nitoe tu pole kwa wote tulio kwazika hasa TMT na uongozi wake pia niwaambie tu, Tulianza tokea mwezi wa tano, imekua safari ndefu mpaka tulipofika hapa, kwa investment iliyofanyika interms of money and time hamna haja ya kukata tamaa! ni sawa umekula ng'ombe mzima alafu unaacha kamkia!!

Naimani TMT mtakuja na mrejesho wa yaliyotokea ila mjue...

Hata mandela aliwekwa jela lakini mwisho wa siku akawa baba wa taifa!!
 
Bora mkuu wangu upo kwa trump huko....sisi huku tuna rais wa wanyonge hataki kuona watu wanajikwamua kutoka kwenye unyonge!! ndo wanaleta shida kama hizi daaah!
Watu tulishayaona haya yanakuja miaka 20 iliyopita, tukaamua kupiga kura kwa miguu kutafuta maisha sehemu nyingine.

Lakini usikonde, tutaitoa tu.They can't fight the time.

Hata mimi mwenyewe safari niliipigania miaka nikawa kama naona haiji vile, washkaji zangu wote wakasafiri.

Nikaona kama nitalosti bongo.

Basi time yangu ilipofika, nikapata safari moja nzuri sana ile yani si ya kawaida, ni ya kuandikwa kwenye vitabu kwa jinsi ilivyokuwa ya kipekee.

Namaanisha unaenda ubalozini kuchukua viza ya Marekani unatenganishwa na wabongo, unakwenda mstari wako peke yako kwa sababu wewe uko na safari tofauti sana.

Kwa hiyo hawa watu wenye roho za korosho watajaribu kubana tu, lakini ukweli ni kwamba kupambana na haya mambo ni kama ujaribu kupambana na bamvua la bahari kwa kutumia ndoo.

With the right time, determination, hard work etc, no one can stop you.
 
Ni mtazamo tu.

Ni kweli huo ni mtizamo wako, kila mtu anajifunza kwa bidii kuminimize risk haimaanishi kuwa rrisk hakuna ni kubwa mno kiasi ukaambiwa "don't invest what you cannot afford to loose" huo ndo ukweli mimi nikiwekeza USD 5,000 ndizo nilizo afford kuloose shida iko wapi hapo?

Tusichukuliane kuwa wote tuna kipato sawa humu ndanu tuko watu wa aina tofauti tofauti sasa kwa mtizamo wako hayo uliyoyasema kwako ni sahihi ila kwetu sie wengine haaaaa mitaji yetu inaruhusu hata nikipoteza USD 10,000 katika kujifunza nik9 tayari, kama ulisoma thread ya kwanza ya ONTARIO nae aliwahi kublow akaunti yake na hiu ni kawaida hata kwenye biashara za kawaida tunaunguza mitaji hatuogopi bali tunajifunza kutokana na makosa.
 
Back
Top Bottom