Hoo!! Malafyale Mwakanjuki Jamani. Nakumbuka nilipokuja Tanzania mwezi Febr 2012 nilipata bahati ya kumtembelea kule kwake Mbezi beach.
Ni mtu makini sana na alikuwa mpenda watu na mwakilishi wa malafyale wote kule Znz.
Pole familia yake yote pamoja na akina "Save water Drink beer" na member wengine hapa barzani.
Mola ailaze pahala panapo stahikh. Adam Mwakanjuki.