Brenda Rupia: CHADEMA hatuitambui Tume. Haiwezekani Mwenyekiti wa CCM awe kiongozi alafu aliowachagua watoe msimamo tofauti na alioutarajia

Brenda Rupia: CHADEMA hatuitambui Tume. Haiwezekani Mwenyekiti wa CCM awe kiongozi alafu aliowachagua watoe msimamo tofauti na alioutarajia

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,439
Reaction score
6,692
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo na wanahabari Mkurugenzi wa Mawasiliano CHADEMA Brenda Rupia amesema kuwa CHADEMA hawaitambui tume ya kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29 kwani imejaa CCM na hata aliowachagua hao walioko kwenye tume ni Mwenyekiti wa CCM

 
kwa kawaida raisi hawezi kuteua wajumbe wa tume ambao anatofautiana nao kimtazamo. hiyo haipo
kwa kawaida kila siku raisi hupokea taarifa za tume kila siku jioni. hivyo basi anaweza kuwaelekeza cha kufanya kwa wakati husika
Iitwe majina yote lakini itoshe kusema TUME ILE SIYO HURU
 
Hivi huyu binti ana uhusiano wowote na ukoo wa John Rupia?
 
Ingekuwa tume imeundwa na Lissu angesema anaikataa angeeleweka ila tume ni Rais ambaye ni kiongozi wa nchi nzima
 
kwa kawaida raisi hawezi kuteua wajumbe wa tume ambao anatofautiana nao kimtazamo. hiyo haipo
kwa kawaida kila siku raisi hupokea taarifa za tume kila siku jioni. hivyo basi anaweza kuwaelekeza cha kufanya kwa wakati husika
Iitwe majina yote lakini itoshe kusema TUME ILE SIYO HURU
Sasa anachunguza nini kama siyo kuwafanya waTanganyika wapumbavu. Au tu ni kutumia pesa za uuma bure kuhalalisha mauaji!
 
Hiyo ni tume kioja cha Ulimwengu. Mtuhumiwa mkuu wa mauaji ndiye anaunda tume kuchunguza mauaji!
 
cdm toka 2010 wao hawatambui rais
 
Back
Top Bottom