breaking news.....just in

breaking news.....just in

Sasa wewe Lady doctor tunaweza sema maneno ya Bishanga yana ukweli
We ndoa jana tuu leo washinda kwenye mtandao wachat wakati hapa ulipaswa uwe chumbani huko wamalizana na Arushaone
Kama ni kweli ndoa imekubali kimbia haraka chumbani huko kakae na Arushaone
 
Last edited by a moderator:
naona unatumia kila mbinu ili niwe katika himaya yako na kwa taarifa yako simuachi Arushaone ng'o... No matter what...!!!!!!

tena ndio alikua anamtumia loya
aharibu ili kibabu akupate,kaumbuka babu
uke wenza na kina Zahra White utauwezea wapi kama c kulogwa akhaa!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Wewe uliyetoa taarifa hizo ni mmbea, mimi sikukimbia kabisaa.... na sababu hiyo uliyotajahapo juu ni uongo mtupu..!

Arushaone nilimkuta na viungo vyake vyote tena amekamilika haswaa na ameniridhisha kabisaa kamwe sijutii kuwa nae, nampenda na nitampenda daima.

I LOVE U SO MUCH Arushaone

Cc: Bishanga Chimbuvu Himidini Steven Robert Masatu Baba V Nicas Mtei Mr Rocky Slave na tedo

Mama yangu eeeh. Hamuulizi ndo tatizo lenu. Mumeoana jana tu leo uko kwenye mbao za matangazo. Pole mwaya.
 
Last edited by a moderator:
Afadhali dada umezungumza maana, nilishaomba ufafanuzi...

kaka watu wa humu wanawivu kweli, muda wote wamesimamisha antenna za masikio yao huku macho yamewatoka wakisubiri kuona mimi na shemejio tukigombana, wengine kutwa kucha kwa waganga kwenda kuturoga ili ndoa yetu ivunjike, hawajui wamekutana na mtoto wa Tanga mizimu yote ya Handeni naimiliki mie, nitawafanya kitu mbaya we waache tu wanifuatilie!!!!!!
 
Mama yangu eeeh. Hamuulizi ndo tatizo lenu. Mumeoana jana tu leo uko kwenye mbao za matangazo. Pole mwaya.

huyo mganga wako aliyekutuma mje mvunje ndoa yetu kamuambie Lady doctor harogeki
 
Back
Top Bottom