mimisa
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,511
- 1,441
bosi..yale maadili yetu ya kazi wapii
nikiwa kama shuhuda wa tukio ama souce kwa kiingereza.nikiwa kama mmiliki wa hotel ya kitalii waliyofikia maharusi.Terms and Condition zetu haziruhusu kutoa taarifa za wateja wetu isipokuwa kwa sababu za kiusalama.ni kweli tuliwapokea maharusi baada ya kushinda tenda.na ghafla baada ya maharusi kuingia chumbani zilisikika kelele kama za ugomvi,ndipo tukamuamuru askari wetu @st pakamweusi na muhudumu Baba V na manager wa hotel mimisa waende kujua kulikoni.ndipo tulipomuona bibi harusi na shela lake akikimbia na kuchukua tax kuondoka.na ndani alikutwa bwana harusi akilia kama mtoto.