breaking news.....just in

breaking news.....just in

Last edited by a moderator:
attachment.php
Bishanga Bishanga Bishanga...... Hakika ndoa yangu na Lady doctor iko imara na dhakari ipo imara kama CHADEMA........Peoples..............Power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!11

Leo utasema kila kitu,vipi sharif wa ujiji hajambo? Amekuokoa na janga la dushelele kunyofolewa?
 
Last edited by a moderator:
By Elizabethdominic senior correspondent jf udaku.
Ndoa ya Arushaone na Lady doctor yavunjika usiku wa manane.
Ile ndoa iliyofungwa kwa mbwembwe na majigambo kati ya fisadi papa Arushaone na former miss temeke Lady doctor imesambaratika jumla.Ilikuwa hivi:
Baada ya kuingia chumbani baada ya shamra shamra Arushaone alianza kulia 'kulikoni?' Akaulizwa na bi harusi, 'sina kikojoleo' akajibu bwana harusi, 'what,unantania,embu vua nione', akavua kweli kuna katobo tu,' ' what happened? Akauliza Lady doctor. Ngoja nikwambie ukweli mke wangu,akasema Arushaone, ' kipindi kile nimemwacha sweetlady kwa hasira aliniendea nanjilinji matokeo yake alikuja panya akaninyofoa dushelele ndo nikabakia hivi" Kusikia hivo Lady doctor hakuwa na la ziada zaidi ya kupakia begi na kutokomea,asubuhi kaonekana ngaramtoni akiwa na Erickb52 na Nicas Mtei wanafakamia thubu.
Habari zaidi tukishamhoji Arushaone
Cc: Baba V ....futa hii ndoa kwenye daftari
Lady doctor best yangu nilidhani utakua na fungate ya nguvu kumbe mwanaume mwenyewe hana kikojoleo pole sana ndo mana mnashauriwa mchunguliane kwanza kabla ya ndoa ona ss yaliyokukuta
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mbona mhusika anakanusha!!! Tupeni data kamili!!!
 
Back
Top Bottom