By
Elizabethdominic senior correspondent jf udaku.
Ndoa ya
Arushaone na
Lady doctor yavunjika usiku wa manane.
Ile ndoa iliyofungwa kwa mbwembwe na majigambo kati ya fisadi papa
Arushaone na former miss temeke
Lady doctor imesambaratika jumla.Ilikuwa hivi:
Baada ya kuingia chumbani baada ya shamra shamra
Arushaone alianza kulia 'kulikoni?' Akaulizwa na bi harusi, 'sina kikojoleo' akajibu bwana harusi, 'what,unantania,embu vua nione', akavua kweli kuna katobo tu,' ' what happened? Akauliza
Lady doctor. Ngoja nikwambie ukweli mke wangu,akasema
Arushaone, ' kipindi kile nimemwacha
sweetlady kwa hasira aliniendea nanjilinji matokeo yake alikuja panya akaninyofoa dushelele ndo nikabakia hivi" Kusikia hivo
Lady doctor hakuwa na la ziada zaidi ya kupakia begi na kutokomea,asubuhi kaonekana ngaramtoni akiwa na
Erickb52 na
Nicas Mtei wanafakamia thubu.
Habari zaidi tukishamhoji
Arushaone
Cc:
Baba V ....futa hii ndoa kwenye daftari